imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Jiwe lilijipakaa Uharo lenyewe,Nape anataka uchunguzi ufanywe na Wananchi tuko pamoja nae.kumchafua Jiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe lilijipakaa Uharo lenyewe,Nape anataka uchunguzi ufanywe na Wananchi tuko pamoja nae.kumchafua Jiwe.
Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.
Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua
1. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa awamu ya 5 kwakuwa hakumshauri vyema mwenza wake, ikumbukwe kuwa na yeye pia alikuwepo katika karatasi ya kura ya uchaguzi mkuu na mbele ya sura yake ndiyo wapiga kura waliweka alama ya vema.
2. Waziri Mkuu wa awamu ya 5, huyu alikuwa mtendaji mkuu wa Serikali, kwanini alifumbia macho uovu huo?
3. Aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya fedha, huyu nayeye asipone katika sakata hili maana yeye ndiyo mwangalizi wa kila senti ya serikali inatoingia na Kutoka.
Mwisho: kama Hawa hawatachukuliwa hatua basi nachukua fursa hii kumpongeza JPM kwa aliyoyafanya kila kona ya nchi hii.
Hivi ile report mbona hatukuisikia ?Hizo point zote 3 ndiyo sababu ya kufichwa kwa ile report ya BOT na pia taarifa ya hilo deni itaendelea kuwa siri mpaka serikali ya awamu ya 8.
Ni kwasababu wahusika ndiyo wamejichunguza.Hivi ile report mbona hatukuisikia ?
Tuliposema sisi mlituita wapinzani🙄🙄Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.
Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua
1. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa awamu ya 5 kwakuwa hakumshauri vyema mwenza wake, ikumbukwe kuwa na yeye pia alikuwepo katika karatasi ya kura ya uchaguzi mkuu na mbele ya sura yake ndiyo wapiga kura waliweka alama ya vema.
2. Waziri Mkuu wa awamu ya 5, huyu alikuwa mtendaji mkuu wa Serikali, kwanini alifumbia macho uovu huo?
3. Aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya fedha, huyu nayeye asipone katika sakata hili maana yeye ndiyo mwangalizi wa kila senti ya serikali inatoingia na Kutoka.
Mwisho: kama Hawa hawatachukuliwa hatua basi nachukua fursa hii kumpongeza JPM kwa aliyoyafanya kila kona ya nchi hii.
Walikuwa wamejipanga kuibia Watanzania, eti chief secretary Bashiru!!Aliyekuwa Katibu Mkuu wizara ya fedha , mjomba wake Magufuli naye achunguzwe
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, Jiae aliwahi kusema yeye hashauriki. Sasa hao unaowataja wangumshauri vp vizuri?Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.
Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua
1. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa awamu ya 5 kwakuwa hakumshauri vyema mwenza wake, ikumbukwe kuwa na yeye pia alikuwepo katika karatasi ya kura ya uchaguzi mkuu na mbele ya sura yake ndiyo wapiga kura waliweka alama ya vema.
2. Waziri Mkuu wa awamu ya 5, huyu alikuwa mtendaji mkuu wa Serikali, kwanini alifumbia macho uovu huo?
3. Aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya fedha, huyu nayeye asipone katika sakata hili maana yeye ndiyo mwangalizi wa kila senti ya serikali inatoingia na Kutoka.
Mwisho: kama Hawa hawatachukuliwa hatua basi nachukua fursa hii kumpongeza JPM kwa aliyoyafanya kila kona ya nchi hii.
Hii ni ile Gang , imekosa ulaji sasa inahangaikaTuliposema sisi mlituita wapinzani[emoji849][emoji849]
Kushauri pesa zilizokopwa zichunguzwe ni vibaya ila hali Jiwe alisema yeye ni Rais wa wanyonge!Ukimjua Nape hutahangaika naye,huyu ni mzee wa kutumwa.
Alitumwa kumchafua Lowassa na Msogagang.
Mojawapo ya Hawa kamtuma Hangaya au mzee wa Msoga,ili kumchafua Jiwe.
Jiwe pamoja na kuwa hayupo,hicho ni kina kirefu,heri apambane na waliohai saizi yake.
Mimi sishauriki, usijjtoe akiliHuyo mama Samia alikuwa kwenye serikali ipi na alikuwa Nani , bullshit
Wanajifanya hawajui hili. Sasa wangemshauri nani.Mimi sishauriki, usijjtoe akili
Na chama mbadala hakuna tulia ukamuliwe jipu!
Kama huo mbadala unaopigiwa upatu umeshindwa hata kujiendeleza wenyewe, hawana hata kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu, tutawaaminije kuwa wako maendeleo minded? Kwa kusikia porojo tu za midomoni?Kama miaka 60 ya uhuru matundu ya choo ni kwa hisani ya mabeberu, unasemaje hakuna mbadala?
Wanazuzu hata kukubali kuwa mabeberu ndio wawezeshaji wao hawaKama miaka 60 ya uhuru matundu ya choo ni kwa hisani ya mabeberu unasemaje hakuna mbadala?
Kile kinacho wauzia wapambanaji wake kwa mkopo, au kwa mauzo kamili au hata kwa usajili haramu, unawasemeaje Kipara Cha Zamani🤸.Na chama mbadala hakuna tulia ukamuliwe jipu!