Tulia kwanza! Cha msingi ngoja kwanza CAG alikague deni la taifa na matumizi yake ndipo hayo mengine yafuate.Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.
Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua
Na kuchunguzwa achunguzwe yeye mwenyeweSitaki ushauri wa mutu maana fomu niliichukua mimi mwenyewe
Wataalam tunao mkuu watalifanyia kazi hilo ingawa nawaona sukuma gang wamecharukaNa kuchunguzwa achunguzwe yeye mwenyewe
๐๐๐๐๐๐ my classmate Bashiru Ally KakurwaBashiru hadi leo haamini kilicho mtokea .
Yupo hajui nini kilitokea na atakuwa mtu wa mwisho kuidharau korona[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] my classmate Bashiru Ally Kakurwa
Kiongozi mkubwa mstaafu alisema hivi" huyu Bashiru anataka nini hapa?"...akajibiwa "bado hajakabidhi ofisi ya katibu wa chama".....akauliza kwani kipi zaidi, nafasi ya KMK na kutokabidhi mafile ya ukatibu wa chama????๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ my classmate Bashiru Ally Kakurwa
Mwishoni ndo umeharibuKwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.
Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua
I really sympathize with him๐๐๐๐๐๐Yupo hajui nini kilitokea na atakuwa mtu wa mwisho kuidharau korona
Dharau kwa watanzania kisa kulewa madaraka kutoka kwa jiweI really sympathize with him[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kilichomtokea utafikili ni movie ya ki-Nigeria!! yaani kulikuwa hakuna namna ya kumbakiza kwenye muhimili wa Executive![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sijui alifanya kitu gani kibaya sana huyu classmate wangu!![emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]
Aliyetoa rushwa na aliyepokea rushwa wote wanahusikaHata huyo Polepole na Bashiru wachunguzwe walivyokuwa wakizitafuna fedha za manunuzi ya watu.
mbona umepanic mkuu.alikuwa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,na kwa muongozo na matakwa ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania...imemkaimu na kumfanya awe rais halali wa jamhuri ya watu wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.ndio maana hatukuingia kwenye uchaguzi.BADO HUJAELEWA MKUU...MAMA ALIKUWA NANI !!??Huyo mama Samia alikuwa kwenye serikali ipi na alikuwa Nani , bullshit
4. KUB wa Bunge la Awamu ya Tano kwa kushindwa kuisimamia vyema Serikali Bungeni badala yake akatumia muda mrefu kupanga ugaidi!Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.
Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua
1. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa awamu ya 5 kwakuwa hakumshauri vyema mwenza wake, ikumbukwe kuwa na yeye pia alikuwepo katika karatasi ya kura ya uchaguzi mkuu na mbele ya sura yake ndiyo wapiga kura waliweka alama ya vema.
2. Waziri Mkuu wa awamu ya 5, huyu alikuwa mtendaji mkuu wa Serikali, kwanini alifumbia macho uovu huo?
3. Aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya fedha, huyu nayeye asipone katika sakata hili maana yeye ndiyo mwangalizi wa kila senti ya serikali inatoingia na Kutoka.
Mwisho: kama Hawa hawatachukuliwa hatua basi nachukua fursa hii kumpongeza JPM kwa aliyoyafanya kila kona ya nchi hii.
Tuonyesheni tuone; maendeleo ya chadema yako wapi?Awamu ya 5 ndiyo inaongoza kwa ufisadi
Bwashee nauliza kuhusu maendeleo!Kwani hujaona uwezo wao wakukabiliana na makaburu weusi, hayo kwako sii mafanikio Yao, Ila uadui wenu kwao๐.
Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.
Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua
1. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa awamu ya 5 kwakuwa hakumshauri vyema mwenza wake, ikumbukwe kuwa na yeye pia alikuwepo katika karatasi ya kura ya uchaguzi mkuu na mbele ya sura yake ndiyo wapiga kura waliweka alama ya vema.
2. Waziri Mkuu wa awamu ya 5, huyu alikuwa mtendaji mkuu wa Serikali, kwanini alifumbia macho uovu huo?
3. Aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya fedha, huyu nayeye asipone katika sakata hili maana yeye ndiyo mwangalizi wa kila senti ya serikali inatoingia na Kutoka.
Mwisho: kama Hawa hawatachukuliwa hatua basi nachukua fursa hii kumpongeza JPM kwa aliyoyafanya kila kona ya nchi hii.