Kufuatia nguvu inayotumika kuua sifa nzuri za Magufuli, tutgemee nini Watanzania?

Kufuatia nguvu inayotumika kuua sifa nzuri za Magufuli, tutgemee nini Watanzania?

Kafanya Mambo mengi Sana mazuri, lkn yapo Mambo mengine mabaya aliyoyafanya usiwakataze watu kuongea hayo mabaya waliyoyaona kipindi hicho ispokuwa waelimishe kwamba so vizuri kujadili udhaifu wa mtu wakati mwenyewe amefariki. He was a human being not Angel.
 
Hizi topics tumezichoka everyday Magufuli Magufuli ,he is gone na tuna Rais mwingine, huyo hata iweje hatarudi tena Duniani tumuongelee Mama Rais wetu this time inaboa sana muda mwingi Magufuli alifanya hiki mara hiki ,people know Magufuli alikuwepo but kwa sasa hayupo na hatarudi
Ninachofahamu watu wenye akili fupi ndio husema mtu akifa anakwenda na yake. Isitoshe hakuna mtu kasema kurudisha. Mtu anayeelewa maana ya maendeleo ndiye anaweza kuelewa kinachofanyika kinalenga nini. Watu wengine mwende insta.
 
Alipokuwa hai ulikuwa ni wakati wake wa kusifiwa MEMA, hakutaka kuambiwa MABAYA. Sasa kwa kuwa hayupo, basi acha watu waseme 'UPUUZI' wa Shujaa (kutema nyongo) maana hakuna wa kuamrisha kuteka, kutesa, kubambika kesi! Shujaa alitumia UMAFIA kunyamazisha watu, acha sasa watu WASEME.
Wangelikuwa wanaema maneno bila kutaka kurudisha taifa kwenye machukizo ya awamu ya nne.
 
Back
Top Bottom