Alipokuwa hai ulikuwa ni wakati wake wa kusifiwa MEMA, hakutaka kuambiwa MABAYA. Sasa kwa kuwa hayupo, basi acha watu waseme 'UPUUZI' wa Shujaa (kutema nyongo) maana hakuna wa kuamrisha kuteka, kutesa, kubambika kesi! Shujaa alitumia UMAFIA kunyamazisha watu, acha sasa watu WASEME.