Kufuatia sakata la Diamond kumkubali mtoto wake, Faiza Ally amchana Mh.Sugu "ex husband wake"

Kufuatia sakata la Diamond kumkubali mtoto wake, Faiza Ally amchana Mh.Sugu "ex husband wake"

Ndo maana napenda mademu wa kizaramo, yeye Dera tu na nauli ya kwenda Msanga. Hana cha 70,000 kwa siku wala m4 kwa mwezi. Yeye mwendo wa juu mboga katikati kuni chini ugali.
 
Kanatamani mimba ya pili..ningekuwa mimi ni Sugu ningekabaka tena
 
Wanawake huwa mnatumwa kuzaa? Tena nilipokua chuo wengi niliona mnategesha tu eti ili sijui uolewe,au umkomeshe mwingine sshv ndo matokeo haya mnaanza kuwalaumu wanaume kisa?!!

Km mlivyozaa ndo mlee si mnajifanya sijui single mother sijui hamjui kuwa mnawapa shida watt wanakua ktk mazingira mabaya sn,wana maswali kibao!
 
Mademu wengi wakikuzalia mtoto ndio wanataka uwatatulie matatizo yao yote na shida zake zote lawama atakupa wewe. Anataka umpe huduma ambazo tangu azaliwe anaziona kwenye TV tu.
 
MTU uliyelala nae kitandan unaweza kumsema maneno haya?? huyu ni kichaa
 
Usiombee kuzaa na mwanamke asiye na akili! hiki ki bibi bado kinayahitaji hayo mahusiano sasa kiliona njia pekee ya kuhakikisha mh sugu hachomoki ni kukomaa na mtoto.
 
Ila sugu ni mshenzi tu
Kamuachia mwenzie mtoto tangu ana mwaka hata mia hatoi
Kila siku analalamikiwa leo anatoa risiti 2 za ada??? Khaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Yaani tangu mtoto mpaka anakua vile huo ndio mchango wake?? Huyo mtoto hali havai walaaa???
Miezi mwaka huna hata salamu na damu yako tena mtoto Na hataki mawasiliano yoyote na mlezi wa mwanae halafu anasema kamkataza why asishitaki???
Mbona ya chama na bungeni anashadadia sana kwanini si kwa mtoto wake???
Aache ubabaifu ahudumie mtoto wake maujinga yake na ugomvi wa faiza waweke kando
Mbona girlfriend wake anahudumia na hajamuoa???
 
Mi siwezi kuamini kwamba Sugu kashindwa kumpa huduma mwanae, sema huyu bibi ana matatatizo, we angalia hata hayo maneno. Hana busara hata kidogo, inasikitisha kwa kweli.
Matatizo ndio utelekeze mtoto??
Na yule fundi garage mama yake alikua anamtusi kama faiza? Mbona alimtelekeza?
 
Ila sugu ni mshenzi tu
Kamuachia mwenzie mtoto tangu ana mwaka hata mia hatoi
Kila siku analalamikiwa leo anatoa risiti 2 za ada??? Khaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Yaani tangu mtoto mpaka anakua vile huo ndio mchango wake?? Huyo mtoto hali havai walaaa???
Miezi mwaka huna hata salamu na damu yako tena mtoto Na hataki mawasiliano yoyote na mlezi wa mwanae halafu anasema kamkataza why asishitaki???
Mbona ya chama na bungeni anashadadia sana kwanini si kwa mtoto wake???
Aache ubabaifu ahudumie mtoto wake maujinga yake na ugomvi wa faiza waweke kando
Mbona girlfriend wake anahudumia na hajamuoa???
Lets be honest tunapohukumu,
Mwaka jana Sugu alifungua kesi mahakamani kuhusu kutaka akae na mtoto, na kesi alishinda,huyo punguani Faiza alitembea uchi akilia kuwa haiwezekani sugu amchukue mwanae atamlea yeye mwenyewe,wanawake mlitetea Faiza sana mpaka bungeni ooh sugu asimchukue mwanaye..leo anacholalamika ni nini?? Kwani ustawi wa jamiii haujui kama jama hawi responsible na mtoto,au mitandaoni ndio ustawi wa jamiii?
Nonsense
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Lets be honest tunapohukumu,
Mwaka jana Sugu alifungua kesi mahakamani kuhusu kutaka akae na mtoto, na kesi alishinda,huyo punguani Faiza alitembea uchi akilia kuwa haiwezekani sugu amchukue mwanae atamlea yeye mwenyewe,wanawake mlitetea Faiza sana mpaka bungeni ooh sugu asimchukue mwanaye..leo anacholalamika ni nini?? Kwani ustawi wa jamiii haujui kama jama hawi responsible na mtoto,au mitandaoni ndio ustawi wa jamiii?
Nonsense
Hiyo kesi alifungua baada ya faiza kuonekana tako lake kwenye tv.
Okay kwahiyo mtoto akikaa na mama yeye hahusiki chochote?
 
Mademu wengi wakikuzalia mtoto ndio wanataka uwatatulie matatizo yao yote na shida zake zote lawama atakupa wewe. Anataka umpe huduma ambazo tangu azaliwe anaziona kwenye TV tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hiyo kesi alifungua baada ya faiza kuonekana tako lake kwenye tv.
Okay kwahiyo mtoto akikaa na mama yeye hahusiki chochote?
Kuna watu wana libeba suala hili kwa mlengo wa kisiasa, wengi hapa wameacha uhalisia na kulazimisha tuamini huenda Faiza anatumika kisiasa na wapinzani wa Sugu.
 
Kuna watu wana libeba suala hili kwa mlengo wa kisiasa, wengi hapa wameacha uhalisia na kulazimisha tuamini huenda Faiza anatumika kisiasa na wapinzani wa Sugu.
Sifurahii kabisa matusi ya faiza ili kama mzazi namuelewa
Ingelikua analilia na kutukana kisa kula tungemuona mvivu wa kazi hafai ila kilio chake ni asaidiwe ada.
Na sugu watu wanamtetea tu ila anakosea mtoto habebeshwi makosa ya mama kamuacha tangu 2years maskini hahusiki na chochote kama kamtupa
Alipie ada basi tuone kama atatukanwa tena amshtaki maana atakua anamchafua bila sababu
 
naomb mungu nisizae na mwanamke asiye na akili kama huyu faidha
 
hiki kibibi noma aisee kinafanana na kichaa aliyeingia mjini huwa haponi kabisa.
 
6107c12173ae0245a5a9440631f0fe6c.jpg


a0b951f2dd4edc950c5aee21ad9c1f78.jpg


73abd135a11b0779ca9b2daa29d662c8.jpg
ni wale wanawake fulani wasio na mbele wala nyuma ambao kwao akishazaa na mwanamme mwenye hela anamgeuza huyo mtoto ni mtaji wa yeye kuendesha maisha yake.....kwanini kama wazazi mmeshindwana msikubaliane tu kuwa kwakuwa Baba ana uwezo amchukue na kumsaidia mtoto hata kwa kumpeleka Boarding School ambayo mtaridhia kwa pamoja?Na kama mama anajiweza ni kwanini analialia njaa kwenye mitandao ya kijamii na kutangaza shida zake si amsaidie mtoto wake kimyakimya na amnyime kabisa Baba access!?Na hapo mtoto ni mmoja wangekuwa watatu ,au watano si balaa!We mama mwachie huyo mtoto Baba yake akamlee kwa kumtunza na kumsomesha wewe kaendelee kupambana na hali yako!
 
Back
Top Bottom