Kufukuzwa kwa Miguel Gamondi : Natangaza waziwazi kurudisha kadi yangu ya Uwanachama wa Young Africans

Kufukuzwa kwa Miguel Gamondi : Natangaza waziwazi kurudisha kadi yangu ya Uwanachama wa Young Africans

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Uzi usiwe mreeeeefu.

Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Yanga na hivi sasa naachana na iliyokuwa kadi yangu ya uwanachama wa klabu ya Yanga.

Haya ni maamuzi magumu ninayoyachukua kama ambavyo msomali na genge lake la waarabu walivyoamua kuinajisi klabu yetu na kuifanya kuwa mali ya familia.

Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Siku chache zijazo nitatangaza naelekea kushabikia timu gani katika ligi kuu ya NBC.

Maamuzi yangu naomba yaheshimiwe na nikiri kuwa sijashurutishwa bali nimeyafanya kwa weledi na kwa utimamu wa akili.

Asanteni
 
Ingekuwa simba ndio imemtimua kocha kwa kipindi kifupi ivyo tena akiwa na rekodi nzuri,
Aisee wachaMbuzi wangeshindana kudemka makalio yao kuishambulia Simba mwanzo mwisho
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kwa rekodi alizoweka Gamondi hakustahili kuondolewa Kwa kutimuliwa labda kama kuna mengine nyuma ya pazia🤷
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Uzi usiwe mreeeeefu.

Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Yanga na hivi sasa naachana na iliyokuwa kadi yangu ya uwanachama wa klabu ya Yanga.

Haya ni maamuzi magumu ninayoyachukua kama ambavyo msomali na genge lake la waarabu walivyoamua kuinajisi klabu yetu na kuifanya kuwa mali ya familia.

Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Siku chache zijazo nitatangaza naelekea kushabikia timu gani katika ligi kuu ya NBC.

Maamuzi yangu naomba yaheshimiwe na nikiri kuwa sijashurutishwa bali nimeyafanya kwa weledi na kwa utimamu wa akili.

Asanteni
Who cares?
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC. View attachment 3153460
habari yako nyuki fc
ice cream fc
uchawi fc
waruka mageti
wapitisha bus empty
wadunga sindano
uto,avic matopeni
mwamnyeto fc
wazee wa fine
makando kando
wapiga chupa teke............
nyambafu sahiv mnaokota tu makocha mmepagawa tayari na bado fountain gate wanawasubiri kuwashenyenta
 
habari yako nyuki fc
ice cream fc
uchawi fc
waruka mageti
wapitisha bus empty
wadunga sindano
uto,avic matopeni
mwamnyeto fc
wazee wa fine
makando kando
wapiga chupa teke............
nyambafu sahiv mnaokota tu makocha mmepagawa tayari na bado fountain gate wanawasubiri kuwashenyenta
Pole yako kijana amka usije ukajikojolea kitandani.
Tanga sio mbao FC Hadi itetereke kama unavyodhani.
Haisimamiwi na kina mangungo Ile.
 
Back
Top Bottom