Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
punguza makasiriko sindano fc na mtadata sanaa round hiiPole yako kijana amka usije ukajikojolea kitandani.
Tanga sio mbao FC Hadi itetereke kama unavyodhani.
Haisimamiwi na kina mangungo Ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
punguza makasiriko sindano fc na mtadata sanaa round hiiPole yako kijana amka usije ukajikojolea kitandani.
Tanga sio mbao FC Hadi itetereke kama unavyodhani.
Haisimamiwi na kina mangungo Ile.
Yani sababu ya kufutwa mkataba Gamondi ndio uhame timu!?Uzi usiwe mreeeeefu.
Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Yanga na hivi sasa naachana na iliyokuwa kadi yangu ya uwanachama wa klabu ya Yanga.
Haya ni maamuzi magumu ninayoyachukua kama ambavyo msomali na genge lake la waarabu walivyoamua kuinajisi klabu yetu na kuifanya kuwa mali ya familia.
Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi
Siku chache zijazo nitatangaza naelekea kushabikia timu gani katika ligi kuu ya NBC.
Maamuzi yangu naomba yaheshimiwe na nikiri kuwa sijashurutishwa bali nimeyafanya kwa weledi na kwa utimamu wa akili.
Asanteni
😆😆😆😆😆😆😆Pole yako kijana unadhani mie nahemka kibalehe kama wewe kijana wa Simba!??punguza makasiriko sindano fc na mtadata sanaa round hii
muda wa nini takwimu zinaongea mkuu kwamba atakuja kuwa tishio ,mfumo wako ndio huo 4-2-3-1 hiiiiiiiiii😆😆😆😆😆😆😆Pole yako kijana unadhani mie nahemka kibalehe kama wewe kijana wa Simba!??
Mtu mwenye utimamu huacha muda uongee sio kuropoka.
Nawewe kwa Akili Yako unaamini huyo ni shabiki wa UTO.Napata furaha mashabiki wa yanga mkipata tabuu, na bado!!
Muda utaongea.muda wa nini takwimu zinaongea mkuu kwamba atakuja kuwa tishio ,mfumo wako ndio huo 4-2-3-1 hiiiiiiiiii
Nabi aliyepigwa nje ndani na Ihefu au kuna mwingine mkuu ,lete takwimu za Nabi ,Gamond alafu ulinganishe na Ramovic then uje uthibitishe Yanga inarudi nyuma au inaenda mbele regardless wachezaji ni wale wale ,naomba urejee kwa kocha mpya wa Man U kasema hahitaji baadhi ya wachezaji je ?huyu Ramovic akisema hamhitaji Aziz ,pacome au mudathir it means anaanza kujitafuta upya kam ilivyo kwa Fadlu na ndio maana hatuna wasiwasi hata kam hatutachukua kombeMuda utaongea.
Niwakumbushe,kipindi Nasrudin Nabi,Mayele,Kaze,Djuma Shaban na wachezaji wengine wakubwa wanaondoka ikiwemo Feisal mlisema Yanga imeisha.
Nijibu UONGO AU UKWELI?
Mlidiriki kusema Yanga itayumba itachukua muda kusimama maana wachezaji wakubwa na kocha mzuri wameondoka.
Kikaja kutokea nini baadae!?
Embu jijibu mwenyewe.
Naskia tetesi kuwa ameshachukuliwa kocha mpya anaitwa Saeed Kamovic aliyekua anaifundisha TS galaxy ya PSL S.Afrika.
Si mnashinda mechi kwa hongo za marefa, uchawi na kudhamini vilabuMuda utaongea.
Niwakumbushe,kipindi Nasrudin Nabi,Mayele,Kaze,Djuma Shaban na wachezaji wengine wakubwa wanaondoka ikiwemo Feisal mlisema Yanga imeisha.
Nijibu UONGO AU UKWELI?
Mlidiriki kusema Yanga itayumba itachukua muda kusimama maana wachezaji wakubwa na kocha mzuri wameondoka.
Kikaja kutokea nini baadae!?
Embu jijibu mwenyewe.
So what!! Ukiacha kuishabikia, utasababisha athari gani ili tuchukue hatua mapema ya kuizuia isitokee?Uzi usiwe mreeeeefu.
Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Yanga na hivi sasa naachana na iliyokuwa kadi yangu ya uwanachama wa klabu ya Yanga.
Haya ni maamuzi magumu ninayoyachukua kama ambavyo msomali na genge lake la waarabu walivyoamua kuinajisi klabu yetu na kuifanya kuwa mali ya familia.
Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi
Siku chache zijazo nitatangaza naelekea kushabikia timu gani katika ligi kuu ya NBC.
Maamuzi yangu naomba yaheshimiwe na nikiri kuwa sijashurutishwa bali nimeyafanya kwa weledi na kwa utimamu wa akili.
Asanteni
Yaani uathiriwe kisaikolojia kwa mambo ya kipuuzi! Kuna baadhi ya Watanzania mnashangaza sana. Gamondi ni zaidi ya Yanga! Na hata kabla yake, wameshapita makocha wengine bora kuliko yeye! Na hata angeendelea kubaki, bado asingeishi na Yanga milele!moderators sahihisheni
*Kari....Kadi
nimevurugwa kwa kweli ...tukio la kufukuzwa kwa kocha mwenye weledi mkubwa wa mpira limeniathiri kisaikolojia
Usiangaike kujibu kolo anayejificha kwenye mgongo wa yanga.Huyo Gamondi ulimjulia wapi kabla ya hao wakina Hersi kumleta Yanga? Kwanini usisubiri uone huyu mpya atafanya nini?
Hamia 51mba, na tukiwafunga tena hamia, KMC, tukiwafunga tena hamia Namungo etc. We hama hama tu ili uendeleze UMALAYA wako wa uanachama wa timu za mpira wa miguu..!!Uzi usiwe mreeeeefu.
Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Yanga na hivi sasa naachana na iliyokuwa kadi yangu ya uwanachama wa klabu ya Yanga.
Haya ni maamuzi magumu ninayoyachukua kama ambavyo msomali na genge lake la waarabu walivyoamua kuinajisi klabu yetu na kuifanya kuwa mali ya familia.
Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi
Siku chache zijazo nitatangaza naelekea kushabikia timu gani katika ligi kuu ya NBC.
Maamuzi yangu naomba yaheshimiwe na nikiri kuwa sijashurutishwa bali nimeyafanya kwa weledi na kwa utimamu wa akili.
Asanteni
Wakati hayo yote yanatokea je SIMBA ile ilikuwa sawa kiuwezo na kiubora ukilinganisha na SIMBA hii?Muda utaongea.
Niwakumbushe,kipindi Nasrudin Nabi,Mayele,Kaze,Djuma Shaban na wachezaji wengine wakubwa wanaondoka ikiwemo Feisal mlisema Yanga imeisha.
Nijibu UONGO AU UKWELI?
Mlidiriki kusema Yanga itayumba itachukua muda kusimama maana wachezaji wakubwa na kocha mzuri wameondoka.
Kikaja kutokea nini baadae!?
Embu jijibu mwenyewe.
Kabla ya kurudisha kadi subiri tuone kama huyu kocha mpya atakubali tununue mechi ili tushinde na kuwachoma sindano/madawa ya kusisimua misuli ya wachezaji ama atakataa hayo mambo kama GamondiUzi usiwe mreeeeefu.
Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Yanga na hivi sasa naachana na iliyokuwa kadi yangu ya uwanachama wa klabu ya Yanga.
Haya ni maamuzi magumu ninayoyachukua kama ambavyo msomali na genge lake la waarabu walivyoamua kuinajisi klabu yetu na kuifanya kuwa mali ya familia.
Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi
Siku chache zijazo nitatangaza naelekea kushabikia timu gani katika ligi kuu ya NBC.
Maamuzi yangu naomba yaheshimiwe na nikiri kuwa sijashurutishwa bali nimeyafanya kwa weledi na kwa utimamu wa akili.
Asanteni
sawaUzi usiwe mreeeeefu.
Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Yanga na hivi sasa naachana na iliyokuwa kadi yangu ya uwanachama wa klabu ya Yanga.
Haya ni maamuzi magumu ninayoyachukua kama ambavyo msomali na genge lake la waarabu walivyoamua kuinajisi klabu yetu na kuifanya kuwa mali ya familia.
Soma Pia: Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi
Siku chache zijazo nitatangaza naelekea kushabikia timu gani katika ligi kuu ya NBC.
Maamuzi yangu naomba yaheshimiwe na nikiri kuwa sijashurutishwa bali nimeyafanya kwa weledi na kwa utimamu wa akili.
Asanteni
Simba Ile ya 2020-2022 SI ndio Simba ya Mohammed Dewji!??Wakati hayo yote yanatokea je SIMBA ile ilikuwa sawa kiuwezo na kiubora ukilinganisha na SIMBA hii?
Hivi mkuu wewe ni mtu wa mpira ama mpiga porojo tu?Nabi aliyepigwa nje ndani na Ihefu au kuna mwingine mkuu ,lete takwimu za Nabi ,Gamond alafu ulinganishe na Ramovic then uje uthibitishe Yanga inarudi nyuma au inaenda mbele regardless wachezaji ni wale wale ,naomba urejee kwa kocha mpya wa Man U kasema hahitaji baadhi ya wachezaji je ?huyu Ramovic akisema hamhitaji Aziz ,pacome au mudathir it means anaanza kujitafuta upya kam ilivyo kwa Fadlu na ndio maana hatuna wasiwasi hata kam hatutachukua kombe