Kufuli linaweza kufunguka kwa kupigwa risasi?

Kufuli linaweza kufunguka kwa kupigwa risasi?

mludego

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
2,597
Reaction score
3,565
Mara kadhaa nimekua ama kutizama nikiona kwenye moves mbalimbali mtu hufyatua trigger ya bunduki kisha risasi hutoka na kuligonga kufuri kisha kufunguka.

Swali ni je, kweli inawezekana na pia hiyo risasi hawezi kukurudia baada ya kuligonga kufuri?

Rejea mfano mdogo wa minati pindi uwekapo jiwe na kuivuta kuelekea ukutani..

NB tungi limekata kichwani nasubiri muongozo.
 
Labda Kufuli la kichina. Lakini kufuli la ‘yale’ ata ulipige bomu halifunguki ng’o!
 
Inategemea na Aina ya risasi bwashee[emoji41]
download-17.jpg
images-581.jpg
 
inaachia vizuri sana.risasi sio kitu cha mchezo.
 
Mara kadhaa nimekua ama kutizama nikiona kwenye moves mbalimbali mtu hufyatua trigger ya bunduki kisha risasi hutoka na kuligonga kufuri kisha kufunguka.

Swali ni je, kweli inawezekana na pia hiyo risasi hawezi kukurudia baada ya kuligonga kufuri?

Rejea mfano mdogo wa minati pindi uwekapo jiwe na kuivuta kuelekea ukutani..

NB tungi limekata kichwani nasubiri muongozo.
Inategemea na aina ya silaha na risasi inayotumika kufanyia jaribio hilo.

Ila risasi karibu zote za rifle na pistol (siyo shot gun) zinafungua kufuli kutokana na kasi na uzito wa kishindo chake: na hapa naeleza kwa lugha rahisi.

Halafu risasi kukita sehemu halafu irudi nyuma jambo hilo haliwezekani hata ungelifyatua kwa umbali mfupi kiasi gani.

Kama object unayoipiga ni ngumu kuhimili mpenyo wa risasi, basi risasi hiyo huyeyuka na kusambaa, utakuta vipande vilivyoyeyuka vimesambaa hapo chini.

Hii hutokea hata ukipiga jiwe, risasi huyeyuka na huwa hairudi ilikotoka.

Madhara unayoweza kuyapata kwa kupiga umbali mfupi ni zile cheche za moto kama risasi hiyo itashindwa kupenya hata kwa upenyo mdogo.

Lakini kwa material yaliyotengenezea kufuli(shaba ya njano), ukipiga risasi, kishindo kile kitaiyeyusha kufuli hiyo na kusambaa yote kabisa.
 
Back
Top Bottom