Kufunga ndoa halafu siku ya harusi wanahudhuria ma ex, sio poa kabisa!

Kufunga ndoa halafu siku ya harusi wanahudhuria ma ex, sio poa kabisa!

Wakati MC anampamba kwa sifa Bibi harusi:
" Mshangilieni Bibi harusi
"Mrembo kwelikweli
"Hakika Bwana amepata mke
"Piga makofiiiii

Waalikwa wanashangilia, jamaa limekaa pale na bia yake, (x wa Bibi harusi) Hana vibe
Anapiga dharau nafsini mwake " Demu gani choko tu huyo"
Au yupo na mshikaji wake ananong'ona " yule Bibi harusi nimemgegeda Sana, Hana maajabu Wala Nini!
Sasa huyu mtu wa Nini kwenye sherehe ya mpendwa wako unayesema unampenda

Mc: Haya haya huyo Ni Bwana harusiii
Anapendezaaa
Dume la shokaaa
Hakika Bibi harusi kapata mumeee

Wakati waalikwa wanashangilia, bidada x wa Bwana harusi anabinua midomo

"Khaa, dume la shoka hilo kwiiooo!
Amtafutie waganga mapemaaa
Maana si kwa kibamia kile

Sasa mtu Kama huyo wa Nini kwenye sherehe yenu na mpendwa wako?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sijaona mantiki ya ushauri wako, kwenye sherehe watu wanawaza kula kunywa na kupiga picha na maharusi huyo mwenye muda wa kuwaza mbususu nani? Labda ungesema kama ex anaweza kuleta uharibifu hasa wanawake anaweza mfunga mwenzake asizae au kuifanya ndoa isikalike kupitia zawadi
 
Nawasalimu nyote!

Ndoa ni Jambo la furaha kwa baadhi ya watu
Si watu wote maana wazee wa kataa ndoa, nawaona wananicheki kwenye darubini kwa hasira. Siku ya harusi Ni full shangwe kwa maharusi, wazazi pande zote, ndugu jamaa na marafiki, mabibi kwa mabwana!

Wakati maharusi wakiwa na furaha iliyopitiliza, kwa mbaali kule kwenye meza za waalikwa Kuna Somebody mpenzi X wa Bwana harusi au Bibi harusi yupo na bia yake anawachora tuh!

Kinachosikitisha huyu mpenzi X ametoa mchango kwa kadi aliyopewa na X wake, ambaye ni Bwana au Bibi harusi au anyway, amefight mwenyewe kupata kadi!

Shida iko wapi?
Shida Ni kwamba, iwapo huyu jamaa aliye ukumbini Ni X wa Bibi harusi, basi Bwana harusi pale ndani unadharaulika!

Bwana harusi Suti Safi, mbwembwe nyingi pale ndani, ila huyu jamaa anakuchora tu. Anakumbuka mbususu ya Bibi harusi ilivyo, imetuna au imesinyaa, Ina bwawa au imenata, Ina joto au baridi. Anakumbuka show ya kitandani, rafu alizomchezea, alivyomkunja akakunjika, bibie alivyokuwa anasikilizia mkuyenge n.k

Kama pale ukumbini yupo bidada, X wa Bwana harusi, Basi Bibi harusi ana dharaulika. Bidada anakumbuka mkuyenge wa Bwana harusi, muhogo au bamia. Anakumbuka show ya Bwana harusi, yakibabe au mbovu!

Lengo la uzi wangu Ni kuwasihi wale wanaotarajia kufunga ndoa na kufanya harusi, wasiwaalike ma X ili kuwathamini wapendwa wenu munaofunga nao ndoa

Uamuzi wa kufunga ndoa means una great love kwa huyo mpendwa wako. Basi mruhusu afurahie harusi yenu pasipo kumleta mmluki kwenye harusi ambaye kazi yake Ni kumtazama mpendwa wako kwa kumpuuza,

Ni hayo tu!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Weakman are you a Weakman 🤔
 
Na mimi niliezaa nje ya ndoa, napaswa kumwalika mzazi mwenzangu siku ya harusi yangu?
 
Normal sasa KE sijamkuta bikra nianze kuwaza ya Ex wake yann?
Vema
Kunywa soda nitalipa!
Fikra zako si mbaya maana zinakupa Uhuru?
Ila fikra zako hazisafishi hii situation mbaya ya mume kujimwambafy mbele ya waalikwa kwa sababu ya kupata Bibi harusi ambae ex wake anaejua harufu ya mbususu yake yupo pale anakupuuza tu!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom