Kufunga ndoa kwangu kumeniondolea marafiki wengi

Kufunga ndoa kwangu kumeniondolea marafiki wengi

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
358
Reaction score
1,887
Nilikua na washkaji wengi kabla ya kufunga ndoa na ndugu wengi nilikua nawachangia sana kwenye misiba na harusi lakini Mimi nilivotangaza ndoa wakaniunga mkono muda ulipofika nikipiga cm wana hawapokei wala kujibu text.

Nikakausha nikakomaa likapita saivi wengine wanaishia kuview status WhatsApp tu na wengine tukionana wanajikanyaga tu.

Nimeamua saivi nitachangia misiba tu Teena ila ya moja kwa moja cjui kipaimara harusi cjui nini mwisho na Nina list ya walionichangia ndo nataka tu kuwarudishia michango yao baasi.

1642577382447.png

 
Mkuu kwani ulikuwa unataka ndoa au michango? Kama ndoa imepita salama mshukuru Mungu, tena shukuru sana hao watu hawajakuchangia....

Unaingia kwenye ndoa majukumu yamepamba Moto halafu Kadi za michango kutoka kila kona, ukiiuliza walikuchangia, wamekupunguzia stress.
 
Such is life ndugu.

Na the older you get the fewer friends you will have left.

Familia yako ndo itakayobaki kuwa marafiki wako. Hii mizigo mingine isiyo na ulazimishe weka pembeni.

Hao waliokuchangia usiwarudishie hela. Hao ndo wa kuwa support siku za mbeleni.
 
Nilikua na washkaji wengi kabla ya kufunga ndoa na ndugu wengi nilikua nawachangia sana kwenye misiba na harusi lakini Mimi nilivotangaza ndoa wakaniunga mkono muda ulipofika nikipiga cm wana hawapokei wala kujibu text

Nikakausha nikakomaa likapita saivi wengine wanaishia kuview status WhatsApp tu na wengine tukionana wanajikanyaga tu

Nimeamua saivi nitachangia misiba tu Teena ila ya moja kwa moja cjui kipaimara harusi cjui nini mwisho na Nina list ya walionichangia ndo nataka tu kuwarudishia michango yao baasi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Usipaniki jamaa..ndio maisha ya watanzania wamejaa unafiki..siku ukiwaambia unataka kuoa watakupa saport..siku ukiomba mchango wote huwaoni.
Ukipata changia wala usiwe na kinyongo.
Zen kingine mimi naona ni muhimu kujipanga tu mapema kama una jambo lako usitegemee wanadamu watakuangusha.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua na washkaji wengi kabla ya kufunga ndoa na ndugu wengi nilikua nawachangia sana kwenye misiba na harusi lakini Mimi nilivotangaza ndoa wakaniunga mkono muda ulipofika nikipiga cm wana hawapokei wala kujibu text

Nikakausha nikakomaa likapita saivi wengine wanaishia kuview status WhatsApp tu na wengine tukionana wanajikanyaga tu

Nimeamua saivi nitachangia misiba tu Teena ila ya moja kwa moja cjui kipaimara harusi cjui nini mwisho na Nina list ya walionichangia ndo nataka tu kuwarudishia michango yao baasi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Habari za kuchangishana kwenye harusi na misiba ni habari za ujima.

Tutengeneze uchumi utakaowezesha watu kugharamia harusi na mazishi yao wenyewe.Ikibidi hata kwa bima maalum za maisha na mifuko maalum ya kuweka akiba za harusi.

Kama mtu anaamua kutoa iwe zawadi kwenye harusi au kusaidia familia vitu vikubwa kwenye misiba.

Naelewa hali ilivyo, na kwamba haya mambo labda yanahitajika kwa sasa, na kwamba yameonekana kama sehemu ya utamaduni, lakini, kimsingi, ni maishabfulani ya kijima yanayojiondoa katika kujitegemea.

Pia, kwenye harusi watubwengi wanaendekeza harusi kubwa zenye gharama sana wakati hawananuwezo wa kiuchumi kuzi support harusi hizo na kuishi maisha yaliyo sawa na harusi hizo. Na gharama hii inabebwa na michango.

Michqngo ya harusi inakuwa mingi kuliko michango ya shughuli za maendeleo.

Utasikia sana watu wanachangishana harusi, lakini husikii watu wakichangishana hivyo kwenye biashara au kusoma.

Hii ni dalili ya jamii inayoendekeza kubembea badala ya kufanya kazi.

Tufikie wakati iwe nibjambo la aibu mtu kuhitaji kuchangiwa ili kufanikisha harusi yake.

Ikibidi vijana, kama wanatakanharusi za kifahari, waanze kuweka akiba tangu wadogo.

Mbona nyumba watu wanajenga bila kuchangiwa na jamii?

Sasa hivi tunatengeneza mpaka uhasama kwa sababu ya michango ya harusi, urafiki unakwisha kwa sababu ya michango ya harusi.

Mbona zamani watu walifanya harusi simole sana na ndoa zilidumu vizuri tu?

Kwani ni lazima kufanya harusi zenye gharama kubwa sana?

Ni jambo la kuhuzunisha sana.
 
Habari za kuchangishana kwenye harusi na misiba ni habari za ujima.

Tutengeneze uchumi utakaowezesha watu kugharamia harusi na mazishi yao wenyewe.Ikibidi hata kwa bima maalum za maisha na mifuko maalum ya kuweka akiba za harusi.

Kama mtu anaamua kutoa iwe zawadi kwenye harusi au kusaidia familia vitu vikubwa kwenye misiba.

Naelewa hali ilivyo, na kwamba haya mambo labda yanahitajika kwa sasa, na kwamba yameonekana kama sehemu ya utamaduni, lakini, kimsingi, ni maishabfulani ya kijima yanayojiondoa katika kujitegemea.

Pia, kwenye harusi watubwengi wanaendekeza harusi kubwa zenye gharama sana wakati hawananuwezo wa kiuchumi kuzi support harusi hizo na kuishi maisha yaliyo sawa na harusi hizo. Na gharama hii inabebwa na michango.

Michqngo ya harusi inakuwa mingi kuliko michango ya shughuli za maendeleo.

Utasikia sana watu wanachangishana harusi, lakini husikii watu wakichangishana hivyo kwenye biashara au kusoma.

Hii ni dalili ya jamii inayoendekeza kubembea badala ya kufanya kazi.

Tufikie wakati iwe nibjambo la aibu mtu kuhitaji kuchangiwa ili kufanikisha harusi yake.

Ikibidi vijana, kama wanatakanharusi za kifahari, waanze kuweka akiba tangu wadogo.

Mbona nyumba watu wanajenga bila kuchangiwa na jamii?

Sasa hivi tunatengeneza mpaka uhasama kwa sababu ya michango ya harusi, urafiki unakwisha kwa sababu ya michango ya harusi.

Mbona zamani watu walifanya harusi simole sana na ndoa zilidumu vizuri tu?

Kwani ni lazima kufanya harusi zenye gharama kubwa sana?

Ni jambo la kuhuzunisha sana.
Mkuu ulichoongea kipo sahihi saana Lakin tunaish kwenye jamii ya ivo nilifanya lakini 80% niltumia pesa yangu kinachouma kuna watu ulijotoa kwao 100% lkn inakuaje mtu asipokee cm c Bora afunguke Hali ngumu maisha yatasonga


Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Habari za kuchangishana kwenye harusi na misiba ni habari za ujima.

Tutengeneze uchumi utakaowezesha watu kugharamia harusi na mazishi yao wenyewe.Ikibidi hata kwa bima maalum za maisha na mifuko maalum ya kuweka akiba za harusi.

Kama mtu anaamua kutoa iwe zawadi kwenye harusi au kusaidia familia vitu vikubwa kwenye misiba.

Naelewa hali ilivyo, na kwamba haya mambo labda yanahitajika kwa sasa, na kwamba yameonekana kama sehemu ya utamaduni, lakini, kimsingi, ni maishabfulani ya kijima yanayojiondoa katika kujitegemea.

Pia, kwenye harusi watubwengi wanaendekeza harusi kubwa zenye gharama sana wakati hawananuwezo wa kiuchumi kuzi support harusi hizo na kuishi maisha yaliyo sawa na harusi hizo. Na gharama hii inabebwa na michango.

Michqngo ya harusi inakuwa mingi kuliko michango ya shughuli za maendeleo.

Utasikia sana watu wanachangishana harusi, lakini husikii watu wakichangishana hivyo kwenye biashara au kusoma.

Hii ni dalili ya jamii inayoendekeza kubembea badala ya kufanya kazi.

Tufikie wakati iwe nibjambo la aibu mtu kuhitaji kuchangiwa ili kufanikisha harusi yake.

Ikibidi vijana, kama wanatakanharusi za kifahari, waanze kuweka akiba tangu wadogo.

Mbona nyumba watu wanajenga bila kuchangiwa na jamii?

Sasa hivi tunatengeneza mpaka uhasama kwa sababu ya michango ya harusi, urafiki unakwisha kwa sababu ya michango ya harusi.

Mbona zamani watu walifanya harusi simole sana na ndoa zilidumu vizuri tu?

Kwani ni lazima kufanya harusi zenye gharama kubwa sana?

Ni jambo la kuhuzunisha sana.
Mkuu,ukiachana na ujima,pia Pressure ya kuridhisha walimwengu ni kubwa mno.Usipofanya makuu utasimangwa,ukijitutumua na michango ndio kadhia kama za mleta mada..
Bila ya msimamo dhabiti,watu wengi hawaishi maisha yao.

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ulichoongea kipo sahihi saana Lakin tunaish kwenye jamii ya ivo nilifanya lakini 80% niltumia pesa yangu kinachouma kuna watu ulijotoa kwao 100% lkn inakuaje mtu asipokee cm c Bora afunguke Hali ngumu maisha yatasonga


Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Watu wamepigwa halafu wanaona haya kusema wamepigwa.

Wengine wana harusi sita hawajui waanze na ioi wamakize na ipi.

Halafu hapohapo January hii watu wana kodi za nyumba na ada za watoto hawajamalizana nazo.

Tukubali kufanya harusi ndogo tu, kitu muhimu ni kuwa na mashahidi na watu kukubaliana.

Hayo mengine ni mbwembwe tu.

Najua this is not fair kwa mtu aliyechangia halafu yeye hachangiwi, lakini hiyo ni moja ya sababu ya kuacha mfumo huu wa kuchangishana kila mtu akamilishe kivyake.

Kama support iwe katika zawadi tu ambayo si kitu cha lazima.
 
Mkuu,ukiachana na ujima,pia Pressure ya kuridhisha walimwengu ni kubwa mno.Usipofanya makuu utasimangwa,ukijitutumua na michango ndio kadhia kama za mleta mada..
Bila ya msimamo dhabiti,watu wengi hawaishi maisha yao.

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Tuondokane tu na maisha haya feki ya kuridhisha watu.

Kwa uchumi wetu mtu akinijulisha kaoa kwa harusi simple nitamuelewa sana.
 
Ujinga tu ndoa ya nyie wawili inawahusu nn mtoto wa kiume mambo ya sherehe ni wanawake

Ikivunjika utawarudishia michango yao?

Hayo ndo mambo ya kukariri sasa malizaneni wenyewe kupenda kujifaharisha tafuteni pesa
 
Habari za kuchangishana kwenye harusi na misiba ni habari za ujima.

Tutengeneze uchumi utakaowezesha watu kugharamia harusi na mazishi yao wenyewe.Ikibidi hata kwa bima maalum za maisha na mifuko maalum ya kuweka akiba za harusi.

Kama mtu anaamua kutoa iwe zawadi kwenye harusi au kusaidia familia vitu vikubwa kwenye misiba.

Naelewa hali ilivyo, na kwamba haya mambo labda yanahitajika kwa sasa, na kwamba yameonekana kama sehemu ya utamaduni, lakini, kimsingi, ni maishabfulani ya kijima yanayojiondoa katika kujitegemea.

Pia, kwenye harusi watubwengi wanaendekeza harusi kubwa zenye gharama sana wakati hawananuwezo wa kiuchumi kuzi support harusi hizo na kuishi maisha yaliyo sawa na harusi hizo. Na gharama hii inabebwa na michango.

Michqngo ya harusi inakuwa mingi kuliko michango ya shughuli za maendeleo.

Utasikia sana watu wanachangishana harusi, lakini husikii watu wakichangishana hivyo kwenye biashara au kusoma.

Hii ni dalili ya jamii inayoendekeza kubembea badala ya kufanya kazi.

Tufikie wakati iwe nibjambo la aibu mtu kuhitaji kuchangiwa ili kufanikisha harusi yake.

Ikibidi vijana, kama wanatakanharusi za kifahari, waanze kuweka akiba tangu wadogo.

Mbona nyumba watu wanajenga bila kuchangiwa na jamii?

Sasa hivi tunatengeneza mpaka uhasama kwa sababu ya michango ya harusi, urafiki unakwisha kwa sababu ya michango ya harusi.

Mbona zamani watu walifanya harusi simole sana na ndoa zilidumu vizuri tu?

Kwani ni lazima kufanya harusi zenye gharama kubwa sana?

Ni jambo la kuhuzunisha sana.
Kwa upande wa harusi nakubaliana na wewe kabisa, ila misiba mmh pagumu hapo
 
Nilikua na washkaji wengi kabla ya kufunga ndoa na ndugu wengi nilikua nawachangia sana kwenye misiba na harusi lakini Mimi nilivotangaza ndoa wakaniunga mkono muda ulipofika nikipiga cm wana hawapokei wala kujibu text

Nikakausha nikakomaa likapita saivi wengine wanaishia kuview status WhatsApp tu na wengine tukionana wanajikanyaga tu

Nimeamua saivi nitachangia misiba tu Teena ila ya moja kwa moja cjui kipaimara harusi cjui nini mwisho na Nina list ya walionichangia ndo nataka tu kuwarudishia michango yao baasi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu,
Hii michango inaleta uhasama sana kimsingi tu naona bora nisichangishe maana kuidai hio michango ni shughuli kweli kweli
 
Kwa upande wa harusi nakubaliana na wewe kabisa, ila misiba mmh pagumu hapo
Hata mimi nina sympathy zaidi kwenye msiba, ila, kimsingi tunatakiwa kujitegemea.

Kama mtu akituunga mkono kwenye harusi au msiba, iwe ni kitu cha ziada tu.

Haya si mambo ambayo hatujui kwamba yanakuja.

Tujue tushaondoka kwenye uchumi wa kijima, tupo katika uchumi wa watu kujitegemea.

Hata misiba tunaweza kuifanya isiwe na gharama kubwa sana. Kwa mfano, suala la msiba kuwa wa siku nyingi si la muhimu sana.

But yeah, harusi ina nafasi ya kupangwa vizuri zaidi kuliko msiba kwa hivyo I have more sympathy kwenye kuchangia msiba.
 
Vijana wa sasa, nimegundua kujikweza na kutaka kufanya harusi kubwa kuliko uwezo wao ndio kinacho wagharimu.

Lets say “Ukioa kimya kimya kuna ubaya gani” ukitoka zako kufunga ndoa kanisani alika ndugu wa karibu wa pande zote mbili na marafiki wachache nendeni sehemu tulivu kwa gharama zako binafsi wapige chakula na vinywaji hadi watambae na uhakika ukitenga milioni tano zinatosha kabisa kuwachachafya, baada ya hapo beba mke wako nendeni mkajenge familia.

Mambo ya kutaka kuwekwa instagram page za ma MC maarafu ndio zinawaponza, mbona miaka yetu tulioa huko vijijini na ilikuwa ni mwendo wa wali na nyama ya ng’ombe na mziki wa kawaida mambo yanaisha na leo tupo imara katika ndoa tofouti na hawa wanaofunga ndoa kwa gharama kubwa kisha wanaishia kuacha ndani ya miaka michache.
 
Hata mimi nina sympathy zaidi kwenye msiba, ila, kimsingi tunatakiwa kujitegemea.

Kama mtu akituunga mkononkwenye harusi au msiba, iwe ni kitu cha ziada tu.

Haya si mambo ambayo hatujui kwamba yanakuja.

Tujue tushaondoka kwenye uchumi wa kijima, tupo katika uchumi wa watu kujitegemea.

Hata misiba tunaweza kuifanya isiwe na gharama kubwa sana. Kwa mfano, suala la msiba kuwa wa siku nyingi si la muhimu sana.

But yeah, harusi ina nafasi ya kupangwa vizuri zaidi kuliko msiba kwa hivyo I have more sympathy kwenye kuchangia msiba.
Mimi siku baada ya kuwa nabangaiza harusi sichangii kabisa, msiba walau nitajipigapiga ila harusi nisamehewe tu...kwani lazima kufanya sherehe?
 
Back
Top Bottom