Nitakupaaa😂😂Weee hebu niambie hata kwa code
Nilikuwa kwenye milima ya usangu uku upaleni, ila sasa nipo njiani nashuka mjini, sio mbaya kama tukijumuika wote kwenye hii safari my lady, kwani wewe upo wap?Utu uzima dawa dear
Uko milima ya wapi eti nikuje can't wait [emoji39][emoji39]
Nipe sasa hivi[emoji23][emoji23][emoji23]Nitakupaaa[emoji23][emoji23]
Kwa hiyo hakuna hata mmoja aliekuja huko?. Nikija huko nitakukuta vile kulivyokuwa Shunie?. Ngoja nipate muda nije nicheckHakuna hata anayekuja
Dear umefunga pm?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] Ngoja nifungue kwa Muda wa wiki moja
[emoji23][emoji23][emoji23] hako mbona Kama nakamanyaMe alinitumia eti let's make a deal, kalivyo kajinga eti kanadanganya kako na miaka 23
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ye ndio alisababisha me nikajifungia zangu PM
Dear umefunga pm?
Hahah[emoji23][emoji23][emoji23] hako mbona Kama nakamanya
Wacha wee...legeza kidogo boss, uwe unatufungulia walau mara moja mojaNasema hivi, simu yangu, bando langu, ID yangu, kwanini mwingine anipangie nnavyoishi JF?
Nakajua dada, basi kataaila kama ndio zake kutembelea kila PM ya mdada na mtongozo wa rangi moja, kanashusha bonge ya text [emoji23] na li I'd lake jipya.
Hakana convincing power kabisa, hakajui kudanganya, kapo kapo tu kama kopo la chooni [emoji23][emoji23][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me alinitumia eti let's make a deal, kalivyo kajinga eti kanadanganya kako na miaka 23
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ye ndio alisababisha me nikajifungia zangu PM
Mzigua ni wa4 naona anaongelea the same thing.
Kuna kaproject sio bure.
Ila muamala unajibu
Kunammoja alikua anaumwa nikampa juice hata asante hajatoa asaivi nimefunga yangu
[emoji23][emoji23][emoji23] hako mbona Kama nakamanya
Yaani ukajiuliza maswali kisa lifurushi la humu[emoji134][emoji134][emoji134]Unakajua? Hata kwangu kalikuja, kalinifanya ninyong'onyee yaani nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu kumbe kanaingia kwa kila mtu?
Anavyoandika tu unajua huyu hata elfu50 hajawahi kushika halafu anaongelea milioni. Furushi kweli.Nakajua dada, basi kataaila kama ndio zake kutembelea kila PM ya mdada na mtongozo wa rangi moja, kanashusha bonge ya text [emoji23] na li I'd lake jipya.
Hakana convincing power kabisa, hakajui kudanganya, kapo kapo tu kama kopo la chooni [emoji23][emoji23][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa ni same msg anabadili tu jina na kuipate kwa kila ke humu ndani.
Nikisema humu yamejaa mafurushi wanachukia.