Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

[emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli mwenza nilijiuliza sana, nikasema nina mwandiko wa ki-kahaba kahaba nini?
😂😂😂😂😂😂
Pole sana mwenza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa ni same msg anabadili tu jina na kuipate kwa kila ke humu ndani.
Nikisema humu yamejaa mafurushi wanachukia.
😂😂 anabadili dau tu, Mara 1M au 1.2M
Mafurushi wakubali tu ilo jina maana linawafaa mno
 
Anavyoandika tu unajua huyu hata elfu50 hajawahi kushika halafu anaongelea milioni. Furushi kweli.
Na miaka yake 23 atolee wapi milioni, bora hata angekuwa anadanganya yuko above 30
 
Hivi unajua pm imewekwa ili itumike rafiki? Usinifungie.

Mwenye shida ya dhati atajua nini cha kufanya.

Ndio maana waliweka kufuli wanaotaka wafunge. Na mimi ni miongoni mwa waliofunga. Nafikiri sijavunja masharti ya JF.
Uko salama lakini?
 
Nimefreeez last seen
Nmehide blue ticks
Nmehide second tick
Nmehide jina langu kuappear kwenye viewers list
Nmehide typing and recording VN
[emoji13]
Jina lako una hide vipi mpenzi. Na mimi nataka ku hide. Halafu nitakutumia namba yangu uone kama nimefanikiwa ku hide baada ya kunielekeza.
 
Back
Top Bottom