Kufungiwa nyimbo 2 za Diamond: WCB waishtaki BASATA kwa Makonda..

Sasa bashite ni nani? Kwahiyo Sasa hivi kila jambo likiwakuta WCB nyuma wapo clouds?

Anyway wcb kawaulizeni Vinega ilikuwaje?
WCB wanachafua Brandy yao kwa kumuhusisha Bashite the Criminal kwenye maswala yao.

Meneja wa WCB ni kichwa maji.
 
makonda kawa mkaguz?

eti anakagua nyimbo,huyu si mlokole na anasali kwj aposto Ndegi? Akakague mapambio na si nyimbo za kiduni.
Mkoromije na bongofleva wapi na wapi.

Inshort WCB wameamua kujichafulia brandy yao kumuhusisha huyu zero brain.
 
Wakudadavuwa ni binti msagaji hana akili ya kupambanua maswala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…