KUFUNGIWA REDIO IMAAN NA NYINGINEZO: haki haijatendwa!

Si kila kosa linapitia karipio... Hata kwenye mpira wa miguu, kuna makosa mchezaji akiyafanya, ni red card moja kwa moja.. Kwa hiyo sikubaliani kwamba walitakiwa wapewe karipio. Kwanza wamechelewa kuwafungia, nadhani walikuwa wanasubiri wakubalansia mambo, na ndo wakampata kwa neema FM
 

suala hapa ni kulikua na kosa gani redio kurusha hewani maoni ya watu waliokua na madai ya msingi kuhusu sensa?.
Kigezo gani kilitumika kuyajudge madai ya waislamu kuhusu sensa kuwa ni yasiyofaa?.
Kwamaana nyingine serikali inawaambia waislamu kuwa wao hawana haki humu nchini.
Je,serikali itafuta vipi hisia hizi za kuwepo mfumo kristo kama badala ya kuclarify issue kama MOU ,WAO WANAKIMBILIA KUIFUNGIA redio kwa kuexpose MOU ,huku wakidaganya kuwa sababu ni sensa?
 
haya tumekuelewa sheikh ubwabwa na tumewazoea coz kila kitu mnaona nyie ndo mnahaki coz utetezi wako ni dhahiri kwa kituo cha redio cha WAHUNI CHA IMANI wewe kwa mtazamo wako mfupi wa kikaidi unaona eti wameonewa hao unaowatetea na kwamba waliofanya makosa ni KWA NEEMA NA CLOUDS tu...unajitia ujinga mwenyewe na upofu...tunasubiri maandamano ya wato waliovaa kofia vikarai na magauni meupe pamoja na makobaz kutaka serikali iifungulie redio iman na kuifungia clouds na kwa neema fm


 
Al shaabab mmeanza, yaani hamkosi pakuanzia. TUMEWACHOKA BHANA!

Hapo ndio mwisho wako wakufikiri kweli akili ni nywele kila mtu anazake

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 

Acha kumkosea ALLAH!!

Redio si chombo cha Allah kuwakilisha mawazo ya walio waislamu dhidi ya watu au dini nyingine!! Na wala usitake kuonesha hapa kuwa sasa serikali imemshinda Allah kwa kufunga chomba anachokitumia kuzungumza na binadamu!! Biblia inasema "Kila kitu kitapita isipokuwa neno la Mungu". Redio imani imepita angalau kwa hii miezi 6!! Na sauti ya redio imani imenyamazishwa na mamlaka za kidunia. Sauti ya Mungu itabaki mioyoni mwa wanaomfuata!!

Mipaka ninayoizungumzia mimi ni ya kuheshimu uwepo wa dini na watu wengine!! Uwepo wa mawazo mengine na uhuru wa kuchagua namna ya kuishi bila kuvunja sheria za Taifa linaloitwa Tanzania. Usizungumzie riba, zinaa, pombe wakati nchi yako inaendeshwa kodi za pombe, sigara na vitu vingine.

Nitaacha mada hii, ninagundua una uelewa finyu wa mada yangu kuu - kuhatarisha misingi ya utaifa kwa kutumia sababu za kidini!!
 
Mwana JF SCarmble. Clouds ni redio inayopendwa na Mkuu wa Kaya. Nakumbukaaliwahi kusema akitaka muziki basi Ruge huwa anamuwekea ktk Ipod. Clouds wanashabikia kila jambo la CCM has kupitia Jahazi. Clouds walikuwa mbele kuwananga madaktari wa Tanzania. Kila hoja za wabunge wa upinzani wanazinanga. Hivyo usitegeem TCRA ya magamba wawafungie Clouds fm. Ile imetumika kama cover ya kuwamaliza Imaan FM. Inshaalah ukweli na haki itadhihiri. Imaan FM pamoja na kufungiwa itapanda chati zaidi ikirudi hewani.
 
Mkuu siyo ushabiki ni kitu ninachokwambia, uwezi jua labda iliundiwa tume, na majibu ndo wametoa baada ya hiyo miezi saba.. tume ngapi zinaudwa hazitoe majibu? Na bora hiyo iliyopewa madaraka yakuchunguza iman imetupa majibu. shem on u, eti si msilamu? thubutu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…