Uunajua jinsi ya kutangaza website ya utalii1. Sajili kampuni yako brela
2. Chagua destinations na itineraries ambazo utakuwa unapeleka watalii
3. Panga bei kutokana na itineraries.
4. Tengeneza website ya kampuni ambayo utaweka maelezo kuhusu huduma za kampuni.
Baada ya hayo unaweza kuanza kutangaza kampuni yako ili kupat
Unajua njia ya kutangaz websit ili upate watalii kama unaweza njoo inbox kuna ela ya sodaMkuu wa
Wasikukatishe tamaa .Kuna vitu vya kuzingatia roughly
Hakikisha una lesseni ya biashara
Umesajiriwa na BRELA
Ukate TALA
Na vizuri for marketing purporses uwe member wa TATO (Tanzania Assosiation of Tour Operators) kama unataka kuwa Tour operator
Kuhusu kuanzisha bila gari inawezekana kabisa ,Ila lazima utafute watu wenye magari uingie nao mkataba unachagausha activity base ya kuweka rate yako (may be KIA-Arusha,KIA-Marangu,....) halafu mna-sign hiyo rate kwa msimu ili wasikunzugushe na unaweka na terms akichelewa kuchukua wageni wako.Then kila mwisho wa week unaanda pick-ups zako zote ,timings, flight#, na arrival time ,na Mabango ya majina ya kupokelea.
Kuhusu kwenda porini unakodi magari na dereva ,unabaki unatoa mpishi na chakula
Mimi nilifanya kazi na African walking Company ni kampuni kubwa sana na wana wageni nadhani now wanafikia 9000-11000 kwa msimu ,ila hawana gari hata moja.
Biashara hii inahitaji intensive marketing especially kuhudhuria tourism exhibitions ili utengeneze network
Asante sana kwa maelezo yako. Na je, kwenye swala la accomodation, hizi hotel kuna rates maalumu wanatoa kwa kampuni za utalii zinazowaletea wageni au gharama ni zile zile walizoweka kwenye tovuti zao?Mkuu wa
Wasikukatishe tamaa .Kuna vitu vya kuzingatia roughly
Hakikisha una lesseni ya biashara
Umesajiriwa na BRELA
Ukate TALA
Na vizuri for marketing purporses uwe member wa TATO (Tanzania Assosiation of Tour Operators) kama unataka kuwa Tour operator
Kuhusu kuanzisha bila gari inawezekana kabisa ,Ila lazima utafute watu wenye magari uingie nao mkataba unachagausha activity base ya kuweka rate yako (may be KIA-Arusha,KIA-Marangu,....) halafu mna-sign hiyo rate kwa msimu ili wasikunzugushe na unaweka na terms akichelewa kuchukua wageni wako.Then kila mwisho wa week unaanda pick-ups zako zote ,timings, flight#, na arrival time ,na Mabango ya majina ya kupokelea.
Kuhusu kwenda porini unakodi magari na dereva ,unabaki unatoa mpishi na chakula
Mimi nilifanya kazi na African walking Company ni kampuni kubwa sana na wana wageni nadhani now wanafikia 9000-11000 kwa msimu ,ila hawana gari hata moja.
Biashara hii inahitaji intensive marketing especially kuhudhuria tourism exhibitions ili utengeneze network
Gharama ni zilezile tu, sema end of season wanatowa commission kwa kiasi gani ulileta wageni.Asante sana kwa maelezo yako. Na je, kwenye swala la accomodation, hizi hotel kuna rates maalumu wanatoa kwa kampuni za utalii zinazowaletea wageni au gharama ni zile zile walizoweka kwenye tovuti zao?
Umeshafanikiwa kwenye hili?Unajua njia ya kutangaz websit ili upate watalii kama unaweza njoo inbox kuna ela ya soda
Na hii ishu ya Tourism Business Licence (TALA), ni kwaajiri ya gari la safari au inalipiwa hata kama hauna gari yako binafsi? Na gharama yake ipoje?Gharama ni zilezile tu, sema end of season wanatowa commission kwa kiasi gani ulileta wageni.
Sasa hapa kwa kampuni zenye wateja wengi hili ndio deal la oparesheni manager anayewafanyia booking December anavuta mpunga mzuri tu, maana kwenye system anaonekana ni nani alifanya booking ngapi kwa season nzima.
Sina hakika na hili lakini kampuni unazokodi magari wao tayari wana hizi taxies wanalipia.Na hii ishu ya Tourism Business Licence (TALA), ni kwaajiri ya gari la safari au inalipiwa hata kama hauna gari yako binafsi? Na gharama yake ipoje?
hello best nimekumiss sana kumbe upoSerengeti.......Ngorongoro......Kilimanjaro.......Zanzibar.......
ππ ππππππππ π πNiko Hapa Moshi Anipe Kazi Ya Kubeba MgongoniAsa utakuwa unawabeba mgongoni hao watalii ama vipi?
TALA na Leseni zingine kwa sasa ni bei gani?1. Sajili kampuni yako brela
2. Chagua destinations na itineraries ambazo utakuwa unapeleka watalii
3. Panga bei kutokana na itineraries.
4. Tengeneza website ya kampuni ambayo utaweka maelezo kuhusu huduma za kampuni.
Baada ya hayo unaweza kuanza kutangaza kampuni yako ili kupata wateja.
Inawezekana sana mkuu wapo watu wengi wanakampuni lakini hawana magari nikiwa mmojawapo, upo mkoa gani mkuuAsante mkuu. Ninaweza kufanya biashara hii bila ya kuwa na magari?
Bora umgetulia tu usubiri majibu ili na wewe ujifunze, ingekusaidia sana.Sikukatishi tamaa, ila kwenye kujieleza tu kwenyewe umeisha feli
Sio kazi rahisi kama unavyodhania na kuona.Na hujui hata unachoenda kufanya ni kipi.
Maana hata kujieleza kwako ni tatizo,hivi unaposema kuanzisha biashara ya Utalii kwanza ujue ni nini.
Halafu unauliza unaanzisha bila gari,hapo ndio umepoteza kabisaaaa