Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Nadhani ni vizuri pamoja na kuyajua haya ukatwambia majukumu yao na umuhimu wa zoezi lenyewe na pengine kama ni gharama kwa lugha nyingine ungetusaidia kwa mifano mahali ambapo mchakato kama huu ulifanyika na wajumbe ama tume husika ililipwa shs ngapi?