Kufuru michango ya harusi ya Dida, mazito yaibuka...

Kufuru michango ya harusi ya Dida, mazito yaibuka...

Kwako hakuna maajabu ila kwa wengine kama sisi tunaona ni vitu vya kushangaza.
Yaan vitu vingine vinaniachaga hoi kwa kweli, vinawashangaza ndo mnapenda kuvijadili na kuvifuatilia, na hata picha mnaweka kwa gallery, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol
 
Yaan vitu vingine vinaniachaga hoi kwa kweli, vinawashangaza ndo mnapenda kuvijadili na kuvifuatilia, na hata picha mnaweka kwa gallery, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol

Yes kwa ajili ya kutoa elimu Mkuu au Wewe unaona ni kawaida wale MAPUNGA ZEZE kuwa vile?
 
Binamu Dida atakua kakuibia mume sio kwa vichambo hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... shoga make ups kutwa mara tatu na zinadunda, anaonekana kama zile poda wanazopakwa maiti, Dida ana sura nzito Jaman looh ila wanaume wana huruma
Huruma ya nini jamani?

Mwili unaruhusu. Tena huyo bila threesome ni kunzingua tu
 
Moja ya wasanii wa bongo movies nitaowachukia ni Aunty Ezekiel! Huyu mama kwa ujinga ujinga ndiyo anaongoza,anapenda maisha ya juu,wakati kichwani ni empty! Hivi kwa maisha gani aliyona hadi atoe mchango wa 4M?? Hiyo laki 2,ukute hajalipa bado!
 
Back
Top Bottom