Huyo Romi jone pleji ya laki 5 wakati yeye ni chawa tu??
hatakuja huku ila lazma atamuanzishia uzi mtu!!huwa hakubali ku LET GOAnamchokoza Purely Talented and Charismatic Fella.
Kumbe ndio yule bwana mtangazajiUmesahau na bavicha nae akamrekodi utupu...dunia ina vituko hii
Mzee Yusufu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona sijaona jina la msanii wa taarabu
Sasa hapo kuna ajabu gan?Nimeziweka kwa ajili ya kushare watu waone maajabu ya dunia.
Sasa hapo kuna ajabu gan?
Ndo yeyeKumbe ndio yule bwana mtangazaji
Hahahaaa unamaanisha Sigara Kali?
Yaan vitu vingine vinaniachaga hoi kwa kweli, vinawashangaza ndo mnapenda kuvijadili na kuvifuatilia, na hata picha mnaweka kwa gallery, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolKwako hakuna maajabu ila kwa wengine kama sisi tunaona ni vitu vya kushangaza.
Warumi sitaki tujuane kabisaaa.Safari hii mwezi tu , kwanza ashukuru vipesa vyake maana tunajua yeye ndo anaoa
Yaan vitu vingine vinaniachaga hoi kwa kweli, vinawashangaza ndo mnapenda kuvijadili na kuvifuatilia, na hata picha mnaweka kwa gallery, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol
Huruma ya nini jamani?Binamu Dida atakua kakuibia mume sio kwa vichambo hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... shoga make ups kutwa mara tatu na zinadunda, anaonekana kama zile poda wanazopakwa maiti, Dida ana sura nzito Jaman looh ila wanaume wana huruma
Eeeeh Kaka! Huku kitaa wanasema Kijana yule HALWA HALWA...
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hahahaaa hatari Faya ,mbona dabliyusibii wamejaa MANGAPULILA wengi?
Ndoa anazipenda ila hazimpendiMmh shoga kidawa Aunty Ezekiel kwenye mitandao ya kijamii kasema ametoa mchango million nne kumbe katoa laki mbili, Uwoya nae alitangaza kalipa mil 8 kumbe laki tano, hawa wanapenda sifa hela hawana, na hapo bado Domo atasema anatoa mil 100. View attachment 1792757
Hii ndio tabia yakeSafari hii mwezi tu , kwanza ashukuru vipesa vyake maana tunajua yeye ndo anaoa