Karudi kwa baabake mbeziDida nae ndo nini kuwaanika wenzao namna hiyo wakat wametuambia wamechanga million 8[emoji23][emoji23], Dida sio mtu mzuri akiii, kama namuona Irene alivyochunda uso kwa kumbuka mxieew kujifanya ana hela wakati anakaa nyumba ya kupanga
Ndoa zote hizo anajioa asee, ushahidi ninaoWatu na manyota yaooo!kuanzia mchops,G na Ezden Leo anaolewa 4th time!
Usililie uzuri Lilia bahati
Ndoa zote yy ndo mtoa mahari, mnunua suti + gauni la harusi na wapambe, chakula, na honeymoonNani amefika bei..au yeye ndo anaoa kibenten?
JLo wa bongoNdio hyo hyo shoo...anaolewa asubuhi jioni talaka
Umeshawahi kuwaona hao unao wazungumzia wanafanya hayo mapenzi hadharani? Na nina amini ingekua hivyo bas wangechukuliwa hatua za kisheria,
Suala la maadili yapi hayo unayo yazungumzia wee? Haya ya wababa kutembea na vitoto? Mama kutembea na vijana? Watu wanafanya dhambi kila aina hapa, ila faragha za watu binafsi juu ya miili yao ndo inawakereketa saana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeh
Sifa za kijinga...Huu utamaduni wa michango unawapumbaza sana watu akili
Huku ni kutokujitambua
Umaskini wa Mwafrika ni akili yake ya kufikiri
Labda ile ya mchopsNdoa zote yy ndo mtoa mahari, mnunua suti + gauni la harusi na wapambe, chakula, na honeymoon
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Haaaaa Haaaaa 😂 hivi kumbe alikuwa hajui kuwa jamaa ni mwanachama eehBro huyo ndugu unaebishana nae ni wale wale,utaanzisha ugomvi usio na maana bure! Kwani humjui?
aisee!Mashoga zangu wote hawanikaribishag majumban kwao, tunatakana bar, maana warumi hanaga siri hata umpe million 2 ukimpeleka kwako kama hapaeleweki atakutangaza mtaa mzima[emoji23][emoji23]
Hii kuna mtu kahack account ya whatsap ya dida huoni hiyo ni pcDida nae ndo nini kuwaanika wenzao namna hiyo wakat wametuambia wamechanga million 8[emoji23][emoji23], Dida sio mtu mzuri akiii, kama namuona Irene alivyochunda uso kwa kumbuka mxieew kujifanya ana hela wakati anakaa nyumba ya kupanga
Bro huyo ndugu unaebishana nae ni wale wale,utaanzisha ugomvi usio na maana bure! Kwani humjui?
Haaaaa Haaaaa 😂 hivi kumbe alikuwa hajui kuwa jamaa ni mwanachama eeh
Dida Hii Ni Ndoa ya Ngapi? Mkuu warumiMmh shoga kidawa Aunty Ezekiel kwenye mitandao ya kijamii kasema ametoa mchango million nne kumbe katoa laki mbili, Uwoya nae alitangaza kalipa mil 8 kumbe laki tano, hawa wanapenda sifa hela hawana, na hapo bado Domo atasema anatoa mil 100. View attachment 1792757
Watu wanachangishwa mwisho wa siku kwenye shuguli hakuna lolote la maanaHuyu dida kila mwaka anaolewa????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani mmeona mchango wangu namba 30 hapo..japo insta nilitangaza nachangia milioni tano[emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Khaaaaaah sasa anafanyaga hivyo ili iweje? LolNdoa zote yy ndo mtoa mahari, mnunua suti + gauni la harusi na wapambe, chakula, na honeymoon
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sasa si nimekuuliza pale juu, hao watu unaowazungumzia, umeshawahi kuona wanafanya hilo tendo hadharan kwa kadamnasi?Hayo uliyoyazungumza ni maneno tu ,unajuaje umri wa mtu? Kwani waliviweka vyeti vyao vya kuzaliwa online? Kuna watu wengine wana maumbo ya kiutu uzima ila wana umri mdogo,halafu ukishavuka above 18 kwa sheria zetu ni mtu mzima na sheria ya ndoa hawakutaja masharti ya umri baina ya mume au mke awe nao ili mradi tu awe above 18 na wameridhiana wenyewe.
Ndicho nachozungumzia hao mapunga zeze hawajakatazwa kutoa tigo zao ,watoe tu ila ufirauni wao waufanyie faragha na sio hadharani.