Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kweli kabisa kaka Mimi nililiona hili tangu Jana make misifa mtaani imekuwa mingi sana
 
Iv ving'amuz vingine nishida mvua ikinyesha inakua ovyo kabsa AZM TV mnatupa tabu watu wa iringa bn du
 
Banda nimajeruhi au? Huyu kocha inabid ifikie hatua na yeye tutest akil take sasa
 
Kwa kikosi kilichotajwa si ajabu yakatokea ulichoota,ee Mungu tusaidie
 
Msimamo wa Kundi ambalo Tanzania imepangwa mpaka sasa ni kama inavyoonekana.

 
Usituaminishe kushindwa kabla ya kuanza hayo ni mawazo yako wewe mwenyewe na ndoto zako za mchana kweupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…