Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Hicho kikosi ni chakujilinda tu naona
 
Leo staz atashinda
1-0 au 2-1 hata 2-0
wakibana sanaa draws
halafu kwa kuwa Uganda tuna ukaribu nao
magu ataongea na m7 Tz ishindilie Uganda bao 5 ili kufidia coz uganda wao c wamepia bhnaa!!!!
Soka halipo hivyo😀😀😀😀
 
Mungu wangu.Kocha ana test mitambo.
Kama Cape Verde away.
Naomba niwe na makosa kwenye uamuzi wake. Lakini dah. Labda kocha anajua wachezaji wake. Too defensive.
 
Mungu wangu.Kocha ana test mitambo. Cape Verde away.
Naomba niwe na makosa kwenye uamuzi wake. Lakini dah. Labda kocha anajua wachezaji wake. Too defensive.
Ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…