Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Ivi No.2 Mgongoni ni mchezaji Gani!? Jina
 
Au lugha itakuwa shida.. Me nadhani tungeweka sheria B4 coach hajaanza kazi lazima ajue Kiswahili kwanza labla inaweza ikatusaidia
Hapana vijana waandaliwe wakiwa wadogo football academy sio mutu anatoka form four failure akimbilie mupira kama ajira last resort
 
Hahahahaha.
Mkuu umewaza nn?
Lkn mkuu wa nchi alishawaambia siku anawapa zile 50
 
Naunga mkono hoja sema match ijayo inabidi tutoe hata rushwa tu Hamna namna t
 
Toa ujinga wako hapa we ni kocha??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…