Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana vijana waandaliwe wakiwa wadogo football academy sio mutu anatoka form four failure akimbilie mupira kama ajira last resortAu lugha itakuwa shida.. Me nadhani tungeweka sheria B4 coach hajaanza kazi lazima ajue Kiswahili kwanza labla inaweza ikatusaidia
Wakimaliza kubangua ww ukabebe yale maguniaHawa jamaa wanalegea na kuvuta miguu , Naomba Wasiposhinda Wakirudi Wakabangue Korosho maana watakua wameshindwa kulitetea taifa uwanjani Basi wakalitetee taifa kwenye ubanguaji wa korosho.
Tutegemee nini tena mrembo?nashangaa wanaume wamekaa kbs wanasubiria ushindi...msitegemee maajab hayo jaman
Munajidanganya tuu sisi msumbiji tunaongoza huku[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Tutegemee nini tena mrembo?
Anaitwa Gadiel Michael Kamagi ila ameshatokaIvi No.2 Mgongoni ni mchezaji Gani!? Jina
Mungu ibariki lesotho sasa.
SawaMunajidanganya tuu sisi msumbiji tunaongoza huku
Kweli kabisa Mzee Baba afanye ziara ya ghafla kwa Mzee Museveni wayajenge kiutu uzimaNaunga mkono hoja sema match ijayo inabidi tutoe hata rushwa tu Hamna namna t
Toa ujinga wako hapa we ni kocha??Kwa Kikosi cha hovyo kilichopangwa Kuanza badala ya kile ambacho nilikitoa jana hapa baada ya Kuhakikishiwa na ' Mtaalam ' wangu kutoka Pemba wala msipoteze muda wenu Kuangalia na kama tutashinda basi ni kutoka nao Sare ila uwezekano wa Wao Kutufunga ni wa 95% japo kuna Kitu kinaitwa ' zali / bahati ' hivyo tunaweza tukafanikiwa vile vile. TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars muwe mnaacha dharau pale tukiwa tunawashaurini Vitu vya Kiutamaduni / Kindumba.
Nimekereka sana kama siyo mno tu.
Bora! Maana Sikuwa Naelewa AnachofanyaAnaitwa Gadiel Michael Kamagi ila ameshatoka