Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kwahiyo mpira unaamuliwa kwa ubashiri huo? Basi tungewaweka mbao fc ile mechi ya marudio tuone. Tuwatakie kheri wenzetu tuache maneno maneno kwasasa.
Nitumie namba ya simu, kama leo Tz tutashinda nakutumia ten
 
Ebu leo tujaribuni kuficha unegative wetu ktk kila kitu. Tuisapoti timu ishinde.
 
Leo kikubwa vijana wetu wapambane, lesotho anafungika kwao. Tuko pamoja nao.
 
Ebu leo tujaribuni kuficha unegative wetu ktk kila kitu. Tuisapoti timu ishinde.
Kabisa mkuu. Nchi itakuja kuvamiwa siku moja alafu badala ya kuhamasishana kuilinda tunaanza vijembe. Siku kama hizi tusahau tofauti zetu.
 
Ni
Mbona mpaka sasa mshindi anafahamika, ujue unashangaza sana mkuu, mi nakupa ukweli daima,

Najua mtaniita sio mzalendo,
Sisi tut ashiriki hayo mashindano kupitia kwa diamond platnumz.
Ni kweli
 
Haya maneno baada ya Mchezo huwa yanabadilika na Sifa anapewa Mh.Jiwe ila ikishindwa lawama kwa Wachezaji.
 
Mtafungwa na hiyo AFCON mtaisikia kwenye bomba
 
Leo ni kichapo tu tunarudi vichwa chini
 
Mkuu hayo leo hayasaidii. Tujifunze kujua tuseme nini wakati gani. Lolote litakalotokea leo huko nje itakuwa ni sura ya Tanzania wala si TFF wala nani. Pamoja na mapungufu yote lakini tukishinda ni ushindi wa Tanzania.
Leo mnapigwa tu,
 
Nakuunga mkono juhudi zako
Mbona mpaka sasa mshindi anafahamika, ujue unashangaza sana mkuu, mi nakupa ukweli daima,

Najua mtaniita sio mzalendo,
Sisi tut ashiriki hayo mashindano kupitia kwa diamond platnumz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…