Mpira sio siasa, poleni sana mliokuwa mnategemea ushindiLeo staz atashinda
1-0 au 2-1 hata 2-0
wakibana sanaa draws
halafu kwa kuwa Uganda tuna ukaribu nao
magu ataongea na m7 Tz ishindilie Uganda bao 5 ili kufidia coz uganda wao c wamepia bhnaa!!!!
Mambo ya kibwege mara nyingi huwa yanatimia, sijui kwanini...Hii ni thread ya kibwege sana. Unaandika tu haitashinda na ndio umaliza?
Rais aliwapa mil. 50 Timu ya taifa waende wakacheze walete ushindi na akawaambia wakiletela za kuleta watazitapika hizo pesa. Mimi nasema kufungwa kizembe na Lesotho leo imetukasirisha watanganyika wengi. Hizo pesa wakitua tu hapa watukabidhi tukawalipe wakulima wa korosho hatuna pesa za utalii sisi vinginevyo wakubali bakora tano tano. Mpira umetushinda tuangalie mambo mengine ya msingi. Timu haibebeki tufanyeje sasa? Hakuna namna lazima sasa wachapwe bakora. Mimi nafikiri mpango wa rais kuandaa wanajeshi kambi maalumu kwaajili ya timu ya taifa uendelee hawa raia wameshindwa kazi
Wawaonee huruma ili wafungiwe na kupigwa fine na caf kwa kupanga matokeo. Waje tu wawaburuze ili kupata muda mzuri wa kulumbana simba na yangaLabda uganda watuonee huruma tu,
Umegeuka bwege mwenyeweHii ni thread ya kibwege sana. Unaandika tu haitashinda na ndio umaliza?
Kwa bajaji[emoji847][emoji847]Tunaenda AFCON