(In Musiba's writting) Tumefadhaishwa sana na taifa stars lakini tumabaini kupitia intelegensia yetu, wapo maadui wasiotakia mema taifa hili, ni hawahawa wasiomtakia mheshiwa jiwe mafanikio katika utawala wake.
Husuda na chuki kwao ndio wanachotaka mathalani wameweza kuloga, kuhonga mpaka timu yetu ya taifa iharibikiwe isifuzu (hapo nafasi ipo).
Wameshindwa kwenye koroshow, weildbank, acacia na sasa wameona waingilie kuhujumu timu ya taifa ili mheshimiwa raisi asipate sifaa na hongera kwa kusaidia milioni 50 zilizopelka taifa south,Lesotho na mpaka sasa chenji yake Imebaki, lakini mbaya zaidi ni wao kumhumiliate mheshimiwa jiwe hadharani wakati akiangalia Mpira live kama press release ya white house ilivotoka.
Tunawajua mlikuwepo lesetho mkiongozwa na beronad maembe, raisi wa tsl, na mbunge mmoja hvi mziito kabwe. Huku mkiwatumia amunikee, himid na nyonu.