Genta leo mpole
Acha kuleta siasa uchwara hata kwenye mambo yasiyohusu siasa. Nimegundua siasa uchwara ziko jf sana lkn nje ya jf watu wako busy sana na mambo ya mcng.Leo nilikua naangalia mechi na bavicha wengi sana lkn sijaona hata mmoja akileta siasa uchwara kama zinazoendelea humu.Asilimia kubwa sana kila mtu katoka anasikitika na matokeo na hata sijasikia mtu akileta uccm na ucdm. Jf ingekua ni mkoa basi tungesema ni mkoa ulijaa bavicha wengi wenye siasa za kipuuz.Jinsi walivyoua viwanda ndio walivyoua na michezo pia.
Ndo yaleyale ya MAXIO MAXIMO Kumkataa Kaseja,,, tulipiga sana kelekeleAjib Alimkataa kabisa
Acha kuleta siasa uchwara hata kwenye mambo yasiyohusu siasa. Nimegundua siasa uchwara ziko jf sana lkn nje ya jf watu wako busy sana na mambo ya mcng.Leo nilikua naangalia mechi na bavicha wengi sana lkn sijaona hata mmoja akileta siasa uchwara kama zinazoendelea humu.Asilimia kubwa sana kila mtu katoka anasikitika na matokeo na hata sijasikia mtu akileta uccm na ucdm. Jf ingekua ni mkoa basi tungesema ni mkoa ulijaa bavicha wengi wenye siasa za kipuuz.
Kwamba humu ndani we ulishaonesha kadi yako ya chama hadi jukwaa likajua we ni bavicha?Huwa nawaambia bavicha wa humu kuwa Tanzania ya jf ni tofaut kabisa na Tanzania ya huko nje.so kwa kila mtanzamo unaotoa humu hasa ukitaka kufanya generalisation ni bora ukawa specific kuwa watanzania wa sehem gani.Wenye akili hili jukwaa saiz wanalitumia kama kijiwe cha kahawa, so hakuna ku complicate, ni mwendo wa soga tuUsipanic, baki hayo majukwaa yanayoongea mambo ya msingi, huku utapata kiharusi. Hap mlipokuwa mnaangalia mpira mlionyeshana kadi zenu za vyama mpaka uwajue bavicha na wao wakufahamu ww ni UVCCM?
Kwamba humu ndani we ulishaonesha kadi yako ya chama hadi jukwaa likajua we ni bavicha?Huwa nawaambia bavicha wa humu kuwa Tanzania ya jf ni tofaut kabisa na Tanzania ya huko nje.so kwa kila mtanzamo unaotoa humu hasa ukitaka kufanya generalisation ni bora ukawa specific kuwa watanzania wa sehem gani.Wenye akili hili jukwaa saiz wanalitumia kama kijiwe cha kahawa, so hakuna ku complicate, ni mwendo wa soga tu
Acha visingizio ,Tz kuna viwanja wapi zaidi ya taifa na bandia chamazi au shamba la bibi?Wanajamii ya michezo
Leo Tanzania imepoteza mchezo wake muhimu katika kuelekea kufuzu Afcon
Uwanja uliotumika katika mchezo huu ni tatizo na imechangia kwa kiasi kikubwa sie watanzania kupoteza mchezo huu
Hivi ni kweli lesotho haina kiwanja bora zaidi ya hiki kilichotumika leo au ni figisu tu zimetumika kuiangamiza stars?
bhahahahahaahaaaa