Kufuzu AFCON 2023 | Taifa Stars 0-2 Algeria | Uwanja wa Benjamin Mkapa

tusubiri mechi mbili za mwisho
1) itaundwa kamati ya ushindi na hamasa
2) tutawaita wachezaji ikulu
3) tutaanza zile hesabu za nani akimfunga nani tunafuzu, huyu akidroo na yule tumepita 😂
Ha ha ha
 
Lini tulikua na timu?
Kuna wale wanasemaga* zamani na haohao wa zamani hatujawahi kwenda hata world cup na afcon....utasikia Pondamali, Mohamed Mwameja,Mwamba kizota,Mzee wa Kiminyio,Salvatory Edward,Sele Matola,Lunyamila,Kenneth Mkapa etc sisi uongo uongo ndiyo mwingi ni sawa na kila mzazi anapomwambia mwanaye alikuwa anakuwa namba moja darasani
 
hakuna kipya TZ anayeongea kama Manula ,labda kama unataka awe MC
 
Supa staa wetu

Festi pleya tu pleyi ini epielo

Aliwahi kuwa pleya ofu ze year wa loko pleya bezdi ini Africa


Mkuu sivi hiyo
Samatta hata kipindi alipokuwa mzuri hajawahi kuipigania stars.

Awapishe vijana wengine, yeye ameshachoka na huwa sio fighter uwanjani.
 
Ao unao wataja walimpiga Algeria 2-0 apo shamba la bibi katika uzinduzi wa uwanja shamba la bibi baada ya ukarabati wa kwanza tangu uwanja utengenezwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…