Kufuzu AFCON 2023 | Taifa Stars 0-2 Algeria | Uwanja wa Benjamin Mkapa

Inshort hatujawahi kuwa na timu ya maana iliyotufikisha mahali pazuri
 
Tanzania kipindi kile waliwahonga Uganda wakawaachia kufuzu Afcon ya 2019 kule Misri ili tu ionekane kwamba wamefuzu tu Magufuli akiwa rais baada ya karibu miaka 40.
 
Ukiacha uwekezaji mdogo katika soka, kingine kinacho wanufaisha wenzetu ni uraia pacha.
Nchi nyingi za Afrika zinafaidika na wachezaji ambao wamezaliwa na kupata misingi ya soka Ulaya tangu wadogo ila wamekosa nafasi katika mataifa makubwa katika nchi hizo za Ulaya, wachezaji hao wanakuja kuchezea nchi zao za asilia uku wakifaidika na uraia pacha.
 
Uko sahihi, wengine wamesimuliwa tu

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Yaani abaki Mohamed Hussein ambaye leo ndiyo ilikuwa barabara ya Waalgeria kupita
 
Yaani abaki Mohamed Hussein ambaye leo ndiyo ilikuwa barabara ya Waalgeria kupita

Kumbuka huyu amecheza mechi nyingi za kimataifa ngazi ya klabu na mashindano mengi ya CAF klabu bingwa na confederation hivyo atakuwa akielekeza wachezaji wapya wa sehemu ya ulinzi watakaoitwa Taifa stars.


08 June 2022
Hali ilivyokuwa Benjamin Mkapa stadium

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…