escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Subirieni kamati ya hamasa ndio itatuvusha, wachezaji nao wanajua hilo 😂Samatta hata kipindi alipokuwa mzuri hajawahi kuipigania stars.
Awapishe vijana wengine, yeye ameshachoka na huwa sio fighter uwanjani.
Inshort hatujawahi kuwa na timu ya maana iliyotufikisha mahali pazuriKuna wale wanasemaga* zamani na haohao wa zamani hatujawahi kwenda hata world cup na afcon....utasikia Pondamali, Mohamed Mwameja,Mwamba kizota,Mzee wa Kiminyio,Salvatory Edward,Sele Matola,Lunyamila,Kenneth Mkapa etc sisi uongo uongo ndiyo mwingi ni sawa na kila mzazi anapomwambia mwanaye alikuwa anakuwa namba moja darasani
inyanyuke kwenda wapi,miaka yote ndo ipo hivo hivo mkuuKipigo ni sehemu ya Mechi, naamini Taifa Stars itanyanyuka tena
Watoke kwenda nje kwa mpira gani wakati bado wanaamini kwamba uchawi unaweza ukawafanya washinde. Bure kabisa.Algeria inawachezaji wenye experience na uwezo kutuzidi, Kama nchi tunahitaji wachezaji wengi watoke waende nje. Tumejitahidi ila quality imeamua.
Uko sahihi, wengine wamesimuliwa tuKuna wale wanasemaga* zamani na haohao wa zamani hatujawahi kwenda hata world cup na afcon....utasikia Pondamali, Mohamed Mwameja,Mwamba kizota,Mzee wa Kiminyio,Salvatory Edward,Sele Matola,Lunyamila,Kenneth Mkapa etc sisi uongo uongo ndiyo mwingi ni sawa na kila mzazi anapomwambia mwanaye alikuwa anakuwa namba moja darasani
kabisaSafi sana Algeria kwa kupiga hilo genge la CCM.
Mna muonea tu, hawezi kucheza pekeyakeSamatta hata kipindi alipokuwa mzuri hajawahi kuipigania stars.
Awapishe vijana wengine, yeye ameshachoka na huwa sio fighter uwanjani.
Kweli kabisa kiungo punda ni skrepa aseehUpo sawa kabisa mkuu, Mwamnyeto kimeo sana aiseeh.
Yaani abaki Mohamed Hussein ambaye leo ndiyo ilikuwa barabara ya Waalgeria kupitaTaifa stars wachovu.
Hawawezi kuanzisha mpira haraka wa goal kick kwa kutumia walinzi wa pembeni.
Space ya mchezo wao ni wa polepole kupita kiasi hasa kuanzia mstari wa ulinzi na kujikuta wanazibiwa nafasi na timu pinzani.
Line ya mbele ya Taifa stars ya kina Kibu Denis, Mbwana Samatta wamejitahidi, tatizo mpira unapoanza toka back line hawajiamini kutumika kama watia mbinyo bali nao wanabakia kucheza ndani ya 18 yao badala ya kupandisha kwa kasi.
Nini kifanyike? Back line yote ifumuliwe abaki Mohamed Hussein , watafutwe wengine maana upande wa ushambuliaji wapo wapya walioongezwa kama kina George Mpole na wakaweza kufanya majukumu.
Ila Haiku apply kwa Jwaneng na Tp mazembe."Kwa mkapa hatoki mtu" hii ni kauli pendwa inayoweza kufanyiwa kazi na Simba SC pekee
Ila ili-apply kwa Rivers UtdIla Haiku apply kwa Jwaneng na Tp mazembe.
"inayoweza kufanyiwa kazi na Simba SC pekee"Ila ili-apply kwa Rivers Utd
Yaani abaki Mohamed Hussein ambaye leo ndiyo ilikuwa barabara ya Waalgeria kupita