Kufuzu AFCON 2023 | Taifa Stars 0-2 Algeria | Uwanja wa Benjamin Mkapa

Bado tunajipa uhakika mkubwa kuwa tutavuka?, ni kichaa tu ndo ataamini kuwa tuna timu nzuri ya ushindani!, hatuna hata ubavu wa kushindana kishindani na timu hata za majirani zetu sembuse Algeria ambayo nayo ni Kama inapitia kipindi kigumu na Cha mpito.
 
Kwanza msisahau Kati ya timu za taifa Bora Africa Algeria wapo na ukichukulia moja ya timu zinazotola ukanda was kaskazini zenye kiwango Bora Cha soka Algeria Ni wazuri kucheza na Tanzania Ni Kama walikuwa wankuja kamilisha ratiba kwasbb wanjua kiwango Cha mataifa ya East Africa ukanda wa maziwa makuu ukiacha wacongo mpira hatuna tunajua kuruka ruka Kama bisi Kuna wakt natamani awepo forward Kama mayele pale mbele na viungo wazuri Kama tshabalala ,day pakawa na nguvu katika na mbele alfu paswepo beki vichochoro mpira wetu ungekuwa mbali Sana Kama ligi yetu inavyotambulika Africa mzima ,Tukiacha siasa na upigaji bongo mpira upo mwing Sana kuliko hata hao tunaowaona SEMA michongo mingi Yan mtot wa mtu Fulani aweke wafulani aachwe ili mradi ulaji wa kifamilia uwepo watu wasilale njaa. Hiv Kama fay ,mpole na wengn wanaupiga mpira hvyo vip wale ambao wameachwa mtaani n ywezekan walikuwa wazuri kuliko wao. #Mchongo Ni kufelishana Babu, taifa la michongo maendeleo y michongo tunaishi kimichongo
 
Hawa Taifa Stars walivyocheza leo polepole sana wangefaa wakacheze mechi za kimataifa za walking football

„You'll never walk alone“ - Fußball im Gehen bei der SGD


Walking football inspires more and more people around the world every year. Since this season, the SGD has also been offering age-appropriate and health-promoting sport exclusively for "55 plus" club members.

Around 30 members came to the opening event at the Rudolf Harbig Stadium. In the presence of honorary captains Hans-Jürgen Dörner and Hansi Kreische as well as dynamo legend Udo Schmuck, coach Holger Hums explained the special features of the new trend sport. Then he asked for the first training session.

DynamoTV
 
Tuongee Tu Ukweli, na Tuachane na Habari ya Ufupi na Urefu.
.
Algeria ni Bora sana Kuliko Team Yetu ya Taifa.
.
Ubora Wa Algeria na Taifa Star Iko Tofauti Kabisa, Hawafanani Kwa Lolote.
 
Uyo Novartus yupo macabi gani mbona uko hachezagi kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…