Kufuzu AFCON 2023 | Taifa Stars 0-2 Algeria | Uwanja wa Benjamin Mkapa

Dickson Kibabage ni mchezaji hewa,hana msaada wowote kwenye pitch.

Simon Msuva siku mbaya kazini.

Kibu Denis ni bora aingie kuongeza nguvu kule mbele.

Simba ile kamati yenu ipo wapi muinusuru timu..[emoji3064]
Hahahaaaaa weweeee utuache simba hatuhusiki huku.Kwanza si huwa mnatuponda ninyi!

Aje GSM anunue mechi kama alivyofanya msimu huu
 
Mwamnyeto kasababisha tena lakini sio mbaya tumejitahidi hii hii moja tuliyopigwa twende nayo hivyo hivyo.

Japo pia hata sammata na msuva pale walichezea nafasi pia.

Dickson job amejitahidi sana
 
Yaani watu mnashupaza mishipa ya shingo kabisa kwa ajili ya Taifa stars

Mpira kwenye national level bado tupo chini wazee
 
Hahahaaaaa weweeee utuache simba hatuhusiki huku.Kwanza si huwa mnatuponda ninyi!

Aje GSM anunue mechi kama alivyofanya msimu huu
Mkuu linapokuja swala la team ya taifa,Ni manufaa yetu sote sio Simba au Yanga ambaye ananufaika.

Mkuu wabembeleze hao wazee wako wa msimbazi [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…