Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Wakati mwingine makocha huwa wanatumia ubongo wa kuku,unamwitaje mchezaji miezi 6 hana timu,unamuacha nje mechi ya nyumbani mchezaji aliyefunga mechi ya ugeniniMsuva je? Huyo nda hatakiwi hata kuwa kikosini