Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Timu ya Tanzania, inacheza na Sudan, hivi ni Tanzania hii hii au ni ya mabwepande? hawajui mpira, na aliyechagua wachezaji hawa anapaswa akae lock up kabisa.
Timu ya Tanzania, inacheza na Sudan, mchezo bado unaendelea hadi sasa
CHAN 2024 QUALIFIERS
70’ Tanzania 🇹🇿1️⃣-0️⃣🇸🇸 Sudan
⚽️ Chrispine Mhagama
Agg (1-1)
90’ Tanzania 🇹🇿1️⃣-0️⃣🇸🇸 Sudan
⚽️ Chrispine Mhagama
Agg (1-1)
FT’ Tanzania 🇹🇿1️⃣-0️⃣🇸🇸 Sudan
⚽️ Chrispine Mhagama
Agg (1-1)
Penati 5-6
Licha ya Sudan kusonga mbele, Tanzania itashiriki michuano hiyo inayofanyika Februari 01 - 28, 2025 kwa tiketi ya Mwenyeji kwani Kenya, Uganda na Tanzania ndio zitakuwa wenyeji wa michuano hiyo
Timu ya Tanzania, inacheza na Sudan, mchezo bado unaendelea hadi sasa
CHAN 2024 QUALIFIERS
70’ Tanzania 🇹🇿1️⃣-0️⃣🇸🇸 Sudan
⚽️ Chrispine Mhagama
Agg (1-1)
90’ Tanzania 🇹🇿1️⃣-0️⃣🇸🇸 Sudan
⚽️ Chrispine Mhagama
Agg (1-1)
FT’ Tanzania 🇹🇿1️⃣-0️⃣🇸🇸 Sudan
⚽️ Chrispine Mhagama
Agg (1-1)
Penati 5-6
Licha ya Sudan kusonga mbele, Tanzania itashiriki michuano hiyo inayofanyika Februari 01 - 28, 2025 kwa tiketi ya Mwenyeji kwani Kenya, Uganda na Tanzania ndio zitakuwa wenyeji wa michuano hiyo