KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018, Novemba 17 2015: Algeria vs Tanzania

KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018, Novemba 17 2015: Algeria vs Tanzania

Natazama channel moj ya kiarabu bein sport,wanajadili mechi hii,jamaa sana wanakhofia tiimu yetu,naona wanarudia sana goli la samatta alivyowafunga trela mabeki wa algeria jamaa wanamuogopa sana leo,

kila la kheri star
 
uploadfromtaptalk1447783475225.png
 
Timu ya Taifa ya Tanzania ?Taifa Stars? leo usiku saa 1:15 kwa saa za Algeria, (sawa na saa 3:15 kwa saa za Afrika Mashariki) itashuka dimbani kuwakabili wenyeji Algeria katika mchezo wa marudiano wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi.


attachment.php


==================================================
==================================================


ZBC 2 wataonyesha 3:15 angalieni wako live
 
Back
Top Bottom