Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
tbc wanaonesha wazee au ndio wameshatuachia manyoya..???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi saa ngapi jamani
Algeria out.
Kitabu kipi maana kuna Taurati, Injili, Zaburi na Qur an.
Timu ya Taifa ya Tanzania ?Taifa Stars? leo usiku saa 1:15 kwa saa za Algeria, (sawa na saa 3:15 kwa saa za Afrika Mashariki) itashuka dimbani kuwakabili wenyeji Algeria katika mchezo wa marudiano wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi.
![]()
Chanzo: Shirikisho la Mpira wa Miguu
==================================================
==================================================