ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Mbna TBC awaoneshi aseee na game isha anza et..
Aisee,kweli kazi.
Ngoja tusubirie lapili tukalale.
Maximo alisema wachezaji wa Tanzania hawafundishiki tukamuona sie.
Leo wataelewa kesho kwenye mechi yanakuwa yale yale.Wawaulize AZAM yaliyowakuta SUDAN kurejeshewa goli zote