Kugombana na wife akaamua kufunga vitu vyake na kuondoka je, ni lazima kuondoka na house girl?

Sasa nimeondoka suala la usafi wa nyumba unanihusu nini
1) Unataka kuniambia ulikoenda akili ikikukaa sawa ukaamua kuomba msamaha na kurudi ungependa ukute nyumba chafu?
2) Imagine mumeo akileta mchepuko wakiona nyumba ilivyo chafu watakavyokusema vibaya. Huoni aibu?
3) Na pia kwa sababu housegirl alikuwa msaidizi wa nyumba hii na si yenu unakoenda. basi ni vyema aachwe kituo chake cha kazi..
 
Khaa sa aibu inatoka wapi mchepuko kunisema? Kama angekuwa smart si angeshaolewa yeye
 
Khaa sa aibu inatoka wapi mchepuko kunisema? Kama angekuwa smart si angeshaolewa yeye
Kwa kweli hapo umeshinda... Ila ikitokea umeondoka muache house girl akusaidie kazi. Maisha kusaidiana
 
House girl kuacha kituo cha kazi si sahihi ni mmoja ya familia
Ikitokea mama kaondoka na watoto wote basi yupo sahihi kuondoka na housegirl kama kaacha watoto basi housegirl anatakiwa abaki
 
Mpigie simu beki 3 arudi akupikikie wakati ukitafuta mwengine
 
Ni vizuri akiondoka naye maana yuko chini ya uangalizi wake.
 
Kuna mjuba aligomabana na mke ,ugomvi mzito. Wife kavimba ,kaondoka. Housegirl kapewa nauli, kwao. Jamaa baada ya wiki kapita kkoo, kabeba chupi tatu .akawa analoanisha bombani anaaknika nnje kwa kubadilisha. Wife alirudi mwisho wa ile week. Kesi zikafutwa. Maisha yakaendelea. Naona majirani walituma msgs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…