Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaahahahYule Mzee ni mgonjwa banaaa
Mbona ccm wanasema yule ni kijana then wewe unamuita mzee?Yule Mzee ni mgonjwa banaaa
Natafuta video fupi ya Mheshimiwa Mkuu wa mkoa wa Dar ambayo alitimia neno hilo ambalo mpaka Sasa sijajua alimaanisha nini ili niitumie kuwauliza wajuzi wa lugha Mheshimiwa alimaanisha nini?
Nahisi alimaanisha hivyo kama vipi alete sentensi nzima tuichambueKu- google?
Wamekutendea maovu gani mkuu?Hahaaa...kuwasikiliza wana-CCM raha sana, kwa muda unasahau maovu wanayotutendea.
Mchakato mzima wa siasa na uchumi wa nchi umejaa uovu, ambao moja kwa moja unatugusa wote kwenye kupata huduma bora za kilazima za kijamii. Angalia maisha ya mikoa ya kusini na malia asili zinazotoka huko.Wamekutendea maovu gani mkuu?
Hahahaha 😂🤣😂😂😂Mbona ccm wanasema yule ni kijana then wewe unamuita mzee?
CCM inatoaga wapi hawa watu wa hovyo?Hahaaa...kuwasikiliza wana-CCM raha sana, kwa muda unasahau maovu wanayotutendea.
Akili timamu wanazo, wakishalamba teuzi kinachofuta-kuandikwa magazetini, kuitwa mheshimiwa, kuwa ndani ya v8, mshara-posho-rushwa akili zinawaruka kabisa, inaitwa "elected mental disorder"CCM inatoaga wapi hawa watu wa hovyo?
Ni kisambaa, kuwa na amani. Kwa kiswahili alikamilika kila idara.na wewe 'alitimia' maana yake nini?
kuchemka kwenye lugha kupo kama ambavyo imekutokea nawe hapo...
Sikuisikia hiyo clip, je hakumaanisha Google, ya kutafuta taarifa mtandaoni?Natafuta video fupi ya Mheshimiwa Mkuu wa mkoa wa Dar ambayo alitimia neno hilo ambalo mpaka Sasa sijajua alimaanisha nini ili niitumie kuwauliza wajuzi wa lugha Mheshimiwa alimaanisha nini?
Jalalani.CCM inatoaga wapi hawa watu wa hovyo?