Kuhack password ya wi-fi

Kuhack password ya wi-fi

Tatizo la Wanafunzi wa IT wa kibongo wengi wenu ni majuha,mazwazwa,matahira,mazumbukuku na malimbukeni,wewe unaenda kusoma chuo IT unatoka huko unakuja kuiba password kwa ajili ya Mbs na Gbs ili uingie kusoma umbea wa Mange Kimambi Instagram na Kuwochi Music za kina Mondi,hivi huwa mnaakili timamu kweli?

Wenzio wanaanzisha APPS za kutatua Changamoto kwenye Jamii wanapiga pesa wewe kazi kuwaibia wadogo zako password za Wi-Fi!.

Aiseeeee!
 
Wanasema kizuri kula na nduguyo.
Nimehamia mtaa fulani hivi wa raia wamejifungia kwenye mageti yao.
Sasa huku fibre hakuna ila raia wamefunga superkasi.
Katika kuhangaika nikapata tool moja inaitwa wifite.
Aisee haka kadude ukiscan kanakuletea wifi zote zinazopatikana na password zake ndani ya muda mfupi.
Kuna wifi moja hapa ina kasi kuanzia mb 8 nna wiki naitumia.
Wakuu jaribuni wifite, ila inafanya kazi kwenye linux tu na kwa commands tu.
Daah mkuu huo mtaa sio hadhi yako. Hama tu maana kizuri kula na ndugu yako sio kwa kumuibia kwanini usiombe?
 
Back
Top Bottom