Siku zote wanawake mna mioyo myepesi sana! Ni wepesi wa kuamini! Ukiangalia wahudhuriaji wengi kwenye hiyo mikutano, lazima utakuta ni wanawake!
Hivyo endeleeni kupigwa. Maana hakuna namna.
Huko ulaya na MAREKANI wezi kama kina Musa walikuwepo sana ni jambo la muda tu kiwango Cha elimu kikiwa kikubwa jamii itaondkana na haya maupuuziFanya tumnase basi USSR
Mtumishi wa Mungu wa Kweli mfano Lwakare na Gwajima kujiunga na ccm tu basi nikajua hawa ni manabii wa uongo.Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu.
Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.
Ukifuatilia Kwa muda mfupi sana utakutana na mambo mengi sana na kati ya hayo mengi ni style ya mahubiri yake, miujiza na maajabu kwenye ibada zake na idadi kubwa ya waumini alionao ndani ya muda mfupi sana maana miaka 3 au mi4 bado huduma ni changa.
Ila swali moja la msingi huyu Kuhani Musa ni nani haswa?
Hizi shuhuda zimetolewa hadharani, ni shuhuda zinazodhihirisha mambo magumu kufikirika katika hali ya kawaida. Ila hawa walioshuhudia wapo kati yetu, mtaani kwetu hata majumbani kwetu, kigoma, chato, kilimanjaro, sumbawanga, kagera, Dar es salaam mmetisha sana. Wenyeji wa huko mnasemaje kuhusu Kuhani Musa?
Fred William Rwegasira.
View attachment 2123813
Mr Rwegasira ni mzaliwa wa mkoa wa Kagera, Bukoba kule, Mkazi wa Salasala - Dar es salaam. Na sasa anaishi kimara
Innocent Carol Paulo
View attachment 2123832
Innocent Carol Paulo ni mzaliwa wa Chato. Na mkazi wa Tabata - Dar es salaam
Levina Lyamuya na mdogo wake
View attachment 2123876
Levina ni mwenyeji wa Kilema, Moshi- Kilimanjaro
Malkia
Bwana Yusufu
Yusufu ni mzaliwa na mwenyeji wa kigoma
Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY
Wenye waume pale hawaendi. Wamejaa single mothers na wajane. Na Over age girlsNajiuliza wakati wanawake wanahudhuria hapo wanaume wanakuwaga wapi. Maana wanaume ndio kichwa cha familia
Kuna hoja mbili ambazo kwenye mada kama hii zinapaswa kujibiwa.Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu.
Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.
Ukifuatilia Kwa muda mfupi sana utakutana na mambo mengi sana na kati ya hayo mengi ni style ya mahubiri yake, miujiza na maajabu kwenye ibada zake na idadi kubwa ya waumini alionao ndani ya muda mfupi sana maana miaka 3 au mi4 bado huduma ni changa.
Ila swali moja la msingi huyu Kuhani Musa ni nani haswa?
Hizi shuhuda zimetolewa hadharani, ni shuhuda zinazodhihirisha mambo magumu kufikirika katika hali ya kawaida. Ila hawa walioshuhudia wapo kati yetu, mtaani kwetu hata majumbani kwetu, kigoma, chato, kilimanjaro, sumbawanga, kagera, Dar es salaam mmetisha sana. Wenyeji wa huko mnasemaje kuhusu Kuhani Musa?
Fred William Rwegasira.
View attachment 2123813
Mr Rwegasira ni mzaliwa wa mkoa wa Kagera, Bukoba kule, Mkazi wa Salasala - Dar es salaam. Na sasa anaishi kimara
Innocent Carol Paulo
View attachment 2123832
Innocent Carol Paulo ni mzaliwa wa Chato. Na mkazi wa Tabata - Dar es salaam
Levina Lyamuya na mdogo wake
View attachment 2123876
Levina ni mwenyeji wa Kilema, Moshi- Kilimanjaro
Malkia
Bwana Yusufu
Yusufu ni mzaliwa na mwenyeji wa kigoma
Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY
Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu.
Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.
Ukifuatilia Kwa muda mfupi sana utakutana na mambo mengi sana na kati ya hayo mengi ni style ya mahubiri yake, miujiza na maajabu kwenye ibada zake na idadi kubwa ya waumini alionao ndani ya muda mfupi sana maana miaka 3 au mi4 bado huduma ni changa.
Ila swali moja la msingi huyu Kuhani Musa ni nani haswa?
Hizi shuhuda zimetolewa hadharani, ni shuhuda zinazodhihirisha mambo magumu kufikirika katika hali ya kawaida. Ila hawa walioshuhudia wapo kati yetu, mtaani kwetu hata majumbani kwetu, kigoma, chato, kilimanjaro, sumbawanga, kagera, Dar es salaam mmetisha sana. Wenyeji wa huko mnasemaje kuhusu Kuhani Musa?
Fred William Rwegasira.
View attachment 2123813
Mr Rwegasira ni mzaliwa wa mkoa wa Kagera, Bukoba kule, Mkazi wa Salasala - Dar es salaam. Na sasa anaishi kimara
Innocent Carol Paulo
View attachment 2123832
Innocent Carol Paulo ni mzaliwa wa Chato. Na mkazi wa Tabata - Dar es salaam
Levina Lyamuya na mdogo wake
View attachment 2123876
Levina ni mwenyeji wa Kilema, Moshi- Kilimanjaro
Malkia
Bwana Yusufu
Yusufu ni mzaliwa na mwenyeji wa kigoma
Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY
Je kwa akili ya Kawaida unaweza ukasema haya yanayotokea hapa ni Trick au ni Kweli (ila sababu tunajua ni trick na inafanywa vipi tunaelewa) ila kwa asiyejua kwamba ni trick haibadilishi kwamba kinachotokea sio kweli....Ndio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje
Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Kuna hoja mbili ambazo kwenye mada kama hii zinapaswa kujibiwa.
Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;
Kwenye miujiza kumekuwa na usanii mwingi, mara utasikia kafufua mtu dar, Moro , Mwanza, etc, wakati inakuwa ni usanii mtupu kama ule wa Gajwima kusema anafufua wafu.
Kiongozi wa dini akisema ana uwezo wa kufufua wafu, watu wandaamane naye mpaka mortuary iliyo karibu wakamkabidhi mwili ili aufufue, akishindwa wahakikishe wanamfungia huko mortuary. Hizi tabia za "kufufua "watu hai inabidi zikome.
Mama D!
Uzi wako huu umeandika kinazi sana, japo siamini kama ni mwandiko wako…. na kama ni wewe umeandika basi bila shaka ni mnufaika na uko hapa kumpigia chapuo huyo nabii uchwara.
Je kwa akili ya Kawaida unaweza ukasema haya yanayotokea hapa ni Trick au ni Kweli (ila sababu tunajua ni trick na inafanywa vipi tunaelewa) ila kwa asiyejua kwamba ni trick haibadilishi kwamba kinachotokea sio kweli....
Anyway Mind over Matter ukiamini sana kitu hata kama sio kweli kitakusaidia sababu ya nguvu ya IMANI hivyo mimi sina shida sana na hawa jamaa hata kama uongo wao unasaidia watu wanakuwa na Peace of Mind
Not knowing how the trick is done does not mean its not a trick (so long as it defies logic there is a good chance its a trick)Kama ni trick tuwafichue hapa basi ili mambo yajulikane
Waende mahospitalini wakaponye watu na mortuary wakafufue maiti. Hizo nyingine ni michongoNdio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje
Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendek
Najiuliza wakati wanawake wanahudhuria hapo wanaume wanakuwaga wapi. Maana wanaume ndio kichwa cha familia
Ninachoamini mimi awezae kufufua ni Yesu Kristo kupitia maombi ya watu wake. Mtumishi wa kweli na muamini wa kweli watamwomba Mungu na mambo yatatokea kwa ile nguvu ya Mungu iliyo ndani yao na sio kwa nguvu zao.
Sasa kwenye kuwa na hiyo nguvu ya Mungu ndio shughuli ya kutakatifuza
Not knowing how the trick is done does not mean its not a trick (so long as it defies logic there is a good chance its a trick)
Nimekupa mfano hapo mtu anapiga filimbi kamba inapanda yenyewe alafu anaweza kuipanda hio kamba (bila kujua inavyofanywa lazima uamini kwamba ni ukweli wakati sio kweli)
Tukija kwenye imani unaweza ukapewa sukari kwamba ni pain killer na kweli maumivu yakaisha (mind over matter) ila does not mean kwamba sugar ni pain killer