Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

sindano gani sasa, hivi unafikiri wanatusumbua hawa? mbona tunawajua, yaani pepo anisumbue? wafuasi wake ninyhi ndio misukule mtakuja kufa kama alivyoua watu wake Mackenzie kule kenya. huyo jamaa ni nabii wa uongo, plus mwamposa, plus elisha mumewe chibalonza, plus peter nyaga. nyoote mnasubiri moto wa milele pamoja na shetani, ama la muokoke na muache utapeli.



Sindano imepenyaaa💊💉💉💊💊💊💉💉

 
Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu.

Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.

GREAT THINKERS wa Jamiiforums hivi huyu KUHANI MUSA RICHARD MWACHA ni nani haswa?
Asante sana mama D kwa uzi huu, wewe ni baraka, Kuhani Musa ni mtumishi wa Mungu wa kweli!. Mimii pia ni mwana Ngomeni!, bila kuhama kwenye dhehebu langu la asili, from time to time huwa najumuika pale Ngome ya Yesu, Kimara Temboni.
P
 
Asante sana mama D kwa uzi huu, wewe ni baraka, Kuhani Musa ni mtumishi wa Mungu wa kweli!. Mimii pia ni mwana Ngomeni!, bila kuhama kwenye dhehebu langu la asili, from time to time huwa najumuika pale Ngome ya Yesu, Kimara Temboni.
P
Nina hakika kuna certain changes lazima imekutokea,katika unalopigania, simaanishi uiweke hapa hapana, (tuweke imani kwa kiasi) bila kuharibu mambo mengine, intelegency matter!
 
Asante sana mama D kwa uzi huu, wewe ni baraka, Kuhani Musa ni mtumishi wa Mungu wa kweli!. Mimii pia ni mwana Ngomeni!, bila kuhama kwenye dhehebu langu la asili, from time to time huwa najumuika pale Ngome ya Yesu, Kimara Temboni.
P
Asante Sana kaka Paschal Mimi pia huwa na tune radio na television every night...

Vp Leo utaenda kukanyaga ointment red carpet with ointment oil

🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom