Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha akitoa darasa kwa mabinti na wanawake. Wanaume mnasemaje kuhusu hili!?

Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha akitoa darasa kwa mabinti na wanawake. Wanaume mnasemaje kuhusu hili!?

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Mimi nimekutana na malalamiko mengi na magomvi mengi ya mahusiano yanayotokana na hili. Hapa ndio pale mwenyezi Mungu aliwaambia wanaume waishi wanawake kwa akili.





Usipotumia akili unaweza kuachwa sababu ya kukosa kazi na unaweza kuachwa sababu una kazi😁😁😁



Sisi ndio wanawake 😅😅

Cc DeepPond

Bujibuji Simba Nyamaume Extrovert
 
Mimi nimekutana na malalamiko mengi na magomvi mengi ya mahusiano yanayotokana na hili. Hapa ndio pale mwenyezi Mungu aliwaambia wanaume waishi wanawake kwa akili.


View attachment 2598347


Usipotumia akili unaweza kuachwa sababu ya kukosa kazi na unaweza kuachwa sababu una kazi😁😁😁

Sisi ndio wanawake 😅😅

Cc DeepPond
Shetani alijua angempa adam swaga za tunda angekula peke yake mpaka kuumaliza mti wote.

Akamuingoa mwanamke ili ale na mumewe. Shetty na hesabu zake za kizandiki akafanikiwa

Tunaishi nanyi kwa akili maana kha si kwa matukio mnayotupiga
 
Shetani alijua angempa adam swaga za tunda angekula peke yake mpaka kuumaliza mti wote.

Akamuingoa mwanamke ili ale na mumewe. Shetty na hesabu zake za kizandiki akafanikiwa

Tunaishi nanyi kwa akili maana kha si kwa matukio mnayotupiga


Inahitaji kuwa mwanaume mwenye akili za moyoni zilizo imara na makini kwa mwanaume yoyote anayeingia kwenye mahusiano
 
Wewe bakia na hiyo ndonga yako uone utavyopigwa matukio
Ili ndonga ithaminike Mwanamke anahitaji Kula vizuri, kulala, kupendeza babueee... upo!?
sasa nikikulisha halafu nisikuchape ndrongaa ya kwenda si nitakua mngemse 😂

mwanaume yeyote mwenye uvhungu na pesa yake, lazima ajue kutembeza ndrongaa😂 hii ndo fani yetu..... tunajivunia😂
 
Matunzo na ndonga hayo ndio mambo
matunzo utapewa ndio, ni formality...... lakini hapo kwenye ndrongaa ndo tunapapania zaidi 😂 unazani tunahangaika na nyie ilimradi tupige story tuu??😂 kila jiwe litageuzwa....
 
Back
Top Bottom