mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mimi nimekutana na malalamiko mengi na magomvi mengi ya mahusiano yanayotokana na hili. Hapa ndio pale mwenyezi Mungu aliwaambia wanaume waishi wanawake kwa akili.
Usipotumia akili unaweza kuachwa sababu ya kukosa kazi na unaweza kuachwa sababu una kazi😁😁😁
Sisi ndio wanawake 😅😅
Cc DeepPond
Bujibuji Simba Nyamaume Extrovert
Usipotumia akili unaweza kuachwa sababu ya kukosa kazi na unaweza kuachwa sababu una kazi😁😁😁
Sisi ndio wanawake 😅😅
Cc DeepPond
Bujibuji Simba Nyamaume Extrovert