Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha akitoa darasa kwa mabinti na wanawake. Wanaume mnasemaje kuhusu hili!?

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Mimi nimekutana na malalamiko mengi na magomvi mengi ya mahusiano yanayotokana na hili. Hapa ndio pale mwenyezi Mungu aliwaambia wanaume waishi wanawake kwa akili.


Your browser is not able to display this video.



Usipotumia akili unaweza kuachwa sababu ya kukosa kazi na unaweza kuachwa sababu una kazi๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.


Sisi ndio wanawake ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Cc DeepPond

Bujibuji Simba Nyamaume Extrovert
 
Shetani alijua angempa adam swaga za tunda angekula peke yake mpaka kuumaliza mti wote.

Akamuingoa mwanamke ili ale na mumewe. Shetty na hesabu zake za kizandiki akafanikiwa

Tunaishi nanyi kwa akili maana kha si kwa matukio mnayotupiga
 
Shetani alijua angempa adam swaga za tunda angekula peke yake mpaka kuumaliza mti wote.

Akamuingoa mwanamke ili ale na mumewe. Shetty na hesabu zake za kizandiki akafanikiwa

Tunaishi nanyi kwa akili maana kha si kwa matukio mnayotupiga


Inahitaji kuwa mwanaume mwenye akili za moyoni zilizo imara na makini kwa mwanaume yoyote anayeingia kwenye mahusiano
 
Wewe bakia na hiyo ndonga yako uone utavyopigwa matukio
Ili ndonga ithaminike Mwanamke anahitaji Kula vizuri, kulala, kupendeza babueee... upo!?
sasa nikikulisha halafu nisikuchape ndrongaa ya kwenda si nitakua mngemse ๐Ÿ˜‚

mwanaume yeyote mwenye uvhungu na pesa yake, lazima ajue kutembeza ndrongaa๐Ÿ˜‚ hii ndo fani yetu..... tunajivunia๐Ÿ˜‚
 
sasa nikikulisha halafu nisikuchape ndrongaa ya kwenda si nitakua mngemse ๐Ÿ˜‚

mwanaume yeyote mwenye uvhungu na pesa yake, lazima ajue kutembeza ndrongaa๐Ÿ˜‚ hii ndo fani yetu..... tunajivunia๐Ÿ˜‚

Matunzo na ndonga hayo ndio mambo
 
Matunzo na ndonga hayo ndio mambo
matunzo utapewa ndio, ni formality...... lakini hapo kwenye ndrongaa ndo tunapapania zaidi ๐Ÿ˜‚ unazani tunahangaika na nyie ilimradi tupige story tuu??๐Ÿ˜‚ kila jiwe litageuzwa....
 
No fake love,
Money move,
No sex mood,
More kush need,

......kush master.....

๐Ÿšฌ๐Ÿšฌ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ