Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a) to obtain, correlate,and evaluate
Kwa hiyo Director General hafanyi kazi kwa mujibu wa katiba?Maana hapo wanasema watakachofanya kinategemea kama director ana consider to be in the interests of security.Hawajasema security ya nani!intelligence relevant to security,
and to communicate any such intelligence to the Minister and to
persons whom, and in the manner which, the Director-General
considers it to be in the interests of security;
(b) to advise Ministers,
where the Director-General is satisfied that
it is necessary to do so, in respect of matters -relevant to security,
so far as those matters relate to departments or portfolios of
which they are in charge;
Hata kushirikiana na walioko nje ya nchi kufanikisha hizi functions ambazo hazi outline ni kivipi maslahi ya wananchi ama ni kwa vipi functions hizo zinarelate to national security and interests.(c) to cooperate as far as practicable and necessary with such other
organs of state and public authorities within or outside Tanzania
as are capable of assisting the Service in the performance of its
functions.
Kifungu hiki cha mwisho ndicho haswa kazi yao.Lakini katika kukuru kakara zao,sijaona ni kivipi waliouwawa walikuwa wanakaribia kufanya lolote kati ya hayo yaliyomo kwenye functions,especially hii ya kifungu d.(d) to inform thePresident, and any other person or authority which
the Minister may so direct, of any new area of potential espionage,
sabotage, terrorism or subversion in respect of which the Director-General hasconsidered it necessary to institute surveillance.
Kwa ufahamu wangu,national Interests are preserved or safeguarded through national security.Hilo liko very applicable mostly kwa mataifa makubwa.Kwa maana kwa mfano wakivamia taifa jingine ili kulinda national security yao,basi wananchi wao hunufaika kwa kazi,sometimes mafuta, ama rasilimali nyinginezo, na pia contracts za rebuilding etc. Hence national interest.
Kwa kuangalia pande zote,yani kati yetu sisi na wezetu,nimeona kuna tofauti kubwa kama jinsi mfano huo hapo juu unavyoonyesha.
Kwa upande wetu sisi, nimepata shida sana ya kuweza kutambua tofauti zilizoko (kamazipo)kati ya maslahi ya Taifa (National interests) vs yale ya usalama wa Taifa.(National security)
Nimekuwa mara nyingi nikijiuliza kama usalama wa Taifa ina maana sawa na kusema usalama wa wananchi?Ama kuna Taifa bila wananchi?
Lakini kutokana na yale yanayotokea kwenye taifa letu,pertaining to Nationa security and national ineterests,basi napata shida kubwa sana kutambua usalama wetu waTaifa kazi yao kubwa haswa ni kusimamia usalama upi?
Je wanasimamia usalama wa wananchi? Maana binafsi nadhani hiyo ndiyo bottom line.Hata usalama wa wananchi kwetu ni upi haswa?Je ni uwezo wa kwenda kazini salama ama ni uwezo wa kupata kazi na kuilisha familia na kujikimu?Pia si uwezo wa kunufaika na rasilimali zetu?Je hayo si ndiyo maslahi ya Taifa ambayo tunadhani ni ya wananchi?
Je ni kweli hali yetu sisi usalama wa Taifa equals usalama wa wananchi?
Kuna matukio kadhaa wa kadha yaliyopelekea mimi kuanzisha thread hii ili niweze kuelimishwa humu jamvini. Nina imani kabisa kuwa nitaelimishwa.
Kumekuwepo na mijadala kadhaa kuhusiana na viongozi ambao wamekufa ama kuuwawa.Na kumekuwa na speculations mbali mbali kuhusiana na sababu za ni kwanini wameuwawa.
Kwa mfano,kuuwawa kwa Meja jenerali Imrani Kombe aliyewahi kuwa mkurugenzi mkuu wa usalama wa Taifa.Sababu zinazotajwa mojawapo ni kwamba alitoa siri kwa Mrema nawenzake.Siri ambazo zilitakiwa kufichwa ili kulinda usalama wa Taifa.
Wote tunakumbuka kipindi hicho ni kile Mrema alipokuja na ile style ya kulipuwa mabomu.Kweli ilikuwa mshike mshike.
Taarifa hizo ie zile za Loliondo, Chavda, Mohammed Enterprise na mchele mbovu, Kilontsy Mporogonyi na minofu ya samaki nanyinginezo nyingi ikiwemo ile ya dhahabu za Bibi Sitti pale DIA,z ilisaidia kuwa amsha wengi wa wananchi na vijana kipindi hicho.
Machoni pa wananchi, taarifa hizo zilionekana kuzingatia maslahi yao hence usalama wao.Wananchi wengi waliamini kuwa ufisadi huo badala ya kufanywa,basi huduma muhimu za jamii zingepewa kipaumbele kama si miundo mbinu,kilimo,shuguli za uzalishaji nk.Pia waliamini kabisa kuzuiliwa kwa mchele mbovu ni usalama wa wananchi.
Kwa upande mwingine, usalama wa Taifa wao walikuwa na mtizamo wa tofauti. Ama at least bossi (Director)wao pamoja na Rais wakati huo akiwa Mkapa na Mwinyi kabla ya hapo.
Wao sasa ina maana waliona kuwa yale aliyofanya Kombe ni kuhatarisha usalama wa Taifa.Kuna wata kaosema ni lazima u uwawe kama ukitoa siri ya usalama huo wa Taifa.
However, tukiangalia na kufikiri kwa undani,je wali uwawa simply kwa kutoa siri ama kwasababu ya kutoa siri zenye kuhatarisha usalama wa Taifa?Na je usalama wa Taifa,taifa nikina nani hao?
Ni wananchi wote ama ni baadhi tu ya watu?
Wakati nikisubiri maoni,nimepata fundisho kubwa.Labda nitabadili mawazo baada ya maoni yenu.However ninaamini kabisa kuwa usalama wa Taifa ni usalama wa wachache waliopo madarakani na wale wenye kuhodhi rasilimali za taifa kwa kigezo cha soko huria.
Ni muhimu sana tukatanabaisha kati ya salama hizi zinazo simamiwa nawana usalama wetu.Wakati tunafikiria kuhusu katiba mpya.Pia muundo na majukumu ya usalama wa Taifa ni vya kufanyiwa kazi.
Siyo kifo hiki pekee kilichonifanya nigubikwe na maswali haya yasiyoisha.Ni vingi tu kuanzia viongozi wa kisiasa kama Kolimba, Sokoine, Balali pamoja na wengineo kwenye tasnia ya uandishiwa habari ie Stan Katabalo(Stand to be corrected)
Swali kubwa nikwamba,je ni kwa namna gani tutahakikisha kuwa usalama wa Taifa wanaya simamia maslahi halisi ya wananchi?Na kwa maskahi ya wananchi ni kuahikikisha kuwa wananchi wanashare keki ya Taifa lao na si watu wachache.
Hapo chini ni functions za TISS ....Baadhi zina utata,wenye kuelewa tueleweshane.
Kwa hiyo Director General hafanyi kazi kwa mujibu wa katiba?Maana hapo wanasema watakachofanya kinategemea kama director ana consider to be in the interests of security.Hawajasema security ya nani!
Again hatujui ni nini kinamfanya director general ambaye anateuliwa na Rais kuwa satisfied.
Hata kushirikiana na walioko nje ya nchi kufanikisha hizi functions ambazo hazi outline ni kivipi maslahi ya wananchi ama ni kwa vipi functions hizo zinarelate to national security and interests.
Kifungu hiki cha mwisho ndicho haswa kazi yao.Lakini katika kukuru kakara zao,sijaona ni kivipi waliouwawa walikuwa wanakaribia kufanya lolote kati ya hayo yaliyomo kwenye functions,especially hii ya kifungu d.
You said it all kamanda.The need is imminent,hatuwezi kukaa tu na kulalamika kama ni vile simba anakula watoto wetu na hatuna la kufanya.Hii sheria ilipitishwa enzi la bunge la NDIO MZEE. Bado hatujafikia hatua ya kupitisha sheria kiukweli. Ukiangalia nchi nyingine zinavyopitisha sheria, unaweza penda. Kwanza wale top law graduates ndio wako employed na parliaments na govt katika kuhakikisha sheria inatungwa kwa maslahi ya wananchi. Hii sheria imeandikwa na kuacha gaps kubwa sana.
Nadhani pia iwe mwamko wa Chadema kuwapa vijana wanasheria ajira ya kufanya uchambuzi na analysis ya hizi bills zinazokuwa introduced. Ni muhimu sana.
Mhmh, kuna washkaji nimesoma nao, wengine tumekua pamoja, tumecheza michezo ya utotoni....
Ila kuwaanika hapa kuwa washkaji ni NYOKA naona roho inasita, kama wanakusoma ni heri wabadili tabia.
Ingawa wanalipwa kwa kusaliti watanzania wenzao tuwaambie tu kuwa hela za damu ya watu hazina raha. Wekeni uzalendo wa taifa lenu mbele....


