Kuhonga kunavyomaliza pesa!

Kuhonga kunavyomaliza pesa!

hahaha
Screenshot_20240718-153201~2.jpg
 
Sasa kama unahonga laki 8 maana yake hela hiyo ya kuhonga unayo!
Mimi kuanzia Jumatatu mpaka leo jumapili nimehonga 3500 tena kwa siku mbili tofauti!
Siku ya kwanza nilihonga toto moja la kienyeji mtaani hapa 1000,
Toto zuri sana sura ya baba ila umbo lake ni 5 star.
nyingine nimemtumia demu nauli 2,500 na bahati mbaya amekula nauli yenyewe hajaja
 
Sio kweli mkuu, kumhudumia mpenzi wako nalo ni jukumu lako...
Kwanza kabisa, kuhonga si kumhudumia mpenzi wako.

Mpenzi wako akiumwa na kuhitaji kuhudumiwa nawe, kumhonga hakuwezi kumsaidia kupata anachotaka.

Pili, kumhudumia mpenzi wako kuko kwa namna nyingi sana. Kuhonga ni njia rahisi sana na ya kimasikini kabisa ya kumhudumia mpenzi wako.

Ni kitu unaweza kufanya bila hata kuwa naye, si unamtumia hela tu.

Kumhudumia mpenzi wako kiukweli kabisa kunataka zaidi ya hela, kunataka kutumia muda wako naye.

Mambo haya watu wengi wa jamii zilizojaa umasikini ambao mawazo yao yamekaa kwenye kufanya mapenzi kuwa ni transactional kwenye kuhonga hela na material things hawawezi kuelewa.

Kwa sababu umasikini na tamaa vimewaziba uwezo wa kuelewa.
 
Kwanza kabisa, kuhonga si kumhudumia mpenzi wako.

Mpenzi wako akiumwa na kuhitaji kuhudumiwa nawe, kumhonga hakuwezi kumsaidia kupata anachotaka.

Pili, kumhudumia mpenzi wako kuko kwa namna nyingi sana. Kuhonga ni njia rahisi sana na ya kimasikini kabisa ya kumhudumia mpenzi wako.

Ni kitu unaweza kufanya bila hata kuwa naye, si unamtumia hela tu.

Kumhudumia mpenzi wako kiukweli kabisa kunataka zaidi ya hela, kunataka kutumia muda wako naye.

Mambo haya watu wengi wa jamii zilizojaa umasikini ambao mawazo yao yamekaa kwenye kufanya mapenzi kuwa ni transactional kwenye kuhonga hela na material things hawawezi kuelewa.

Kwa sababu umasikini na tamaa vimewaziba uwezo wa kuelewa.



Truly Kuhonga ni kwa ajili ya watu masikini zaidi.

Kumuhudumia MTU kunahitaji zaidi ya PESA ni aina Fulani unajitoa kwa MTU with none -profit.

So I agree with you ✊🏿

Jamii za Africa ni jamii duni kimawazo ,kifikra na kiakili
 
Back
Top Bottom