Kuhonga ni lazima ila Kuna kanuni zake. Zijue kanuni za kuhonga.

Kuhonga ni lazima ila Kuna kanuni zake. Zijue kanuni za kuhonga.

Umeanza vizuri point ya pili umejicontradict mwenyewe.
 
Acha masharti mkuu

Hebu mtuhonge

Mtakuja kufa muache hizo hela ndugu wazitapanye kwa kuhonga.


Ila seriously

Nimependa mtazamo wako!!
 
Acha masharti mkuu

Hebu mtuhonge

Mtakuja kufa muache hizo hela ndugu wazitapanye kwa kuhonga.


Ila seriously

Nimependa mtazamo wako!!

Wanawake wote wanapenda mtazamo wangu Kwa vitendo
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Ninachoshangaa mm niliwezaje kumteka bint hisia mpaka mshahara wake alikuwa akinipa niufanyie maendeleo
 
Unaenda kununua utamu kwa pesa wakati utamu upo kichwani kwako ?
 
Nyie toeni pesa kabla ya kuombwa, ukisubiri hadi uombwe sio salama sana kwako
Tenga fungu la unayempenda mpatie hii inafanya mambo yawe rahisi zaidi🔥🔥🔥
mfano wa fungu ni shs ngapi?
 
Back
Top Bottom