Kuhujumiwa kwa Rais Samia Suluhu

Kuhujumiwa kwa Rais Samia Suluhu

Ni kawaida nchini kwa kila kiongozi mpya anapoingia madarakani, kuwepo kwa genge la wanufaika wa uongozi uliopita kulinda na kusukuma maslai yao. Mwinyi – kama alivyoandika kwenye kitabu chake – alisumbuliwa sana na ‘watu’ wa Nyerere, ikiwemo Nyerere mwenyewe. Mkapa hakusumbuliwa sana na hili.

Kikwete alisumbuliwa kidogo na watu wa Mkapa. Magufuli alisumbuliwa kwa sana na watu wa Kikwete ambao maslai yao kwa upana yaliguswa na walihisi kutengwa.

Kuna dalili za wazi, Rais Samia, ameaza kusumbuliwa na watu wa Hayati Magufuli, na nina hofu mpango huu una maono ya 2025. Kama umekua ukifuatilia kwa ukaribu kwenye mitandao, kila changamoto inayotokea nchini, kuna kakikundi - ambacho ukifungua profile zao - utagundua wengi hawana followers zaidi ya 10, wanacomment, mambo yanayolenga kumlaumu Samia, na “kumkumbuka” JPM kwani mambo haya “hayakuwepo” wakati wa uongozi wake. Hizi accounts kitaalamu zinaitwa bots.

Naomba tukumbushane
Matatizo Tanesco; Ni kweli kuwa matatizo ya umeme yalipungua wakati wa JPM, ila hitilafu zilikua zinajitokeza mara moja moja, ila hawa watu wana comment kana kwamba huko nyuma mambo yalikwisha kabisa. Huu ni upotoshaji wa maksudi. Mifano ya hizi hitilafu huko nyuma soma hapa, hapa na hapa.

Ujambazi; Kama ilivyo maswala ya umeme, ujambazi ulipungua kwa sana ila ulikuwepo. Soma hapa, hapa, hapa, hapa na hapa. Ipo mifano mingi, tafuteni kwenye mitandao. Ninajaribu tu kuwakumbusha maana watanzania ni hulka yetu kusahau. Kwa kuongezea wakati wa JPM ujambazi wa kihalifu ulipungua, lakini ujambazi wa kisiasa ulishamiri. Wanasiasa kupigwa risasi, wafanyabishara kutekwa, wengine kukatwa masikio, ila sisi watanzania kama kawaida ni wasahaulifu.

Sasa, anapokuja mtu kusema wakati wa JPM haya mambo hayakuwepo anakuwa na maana gani? Maana ni upotoshaji wa wazi. Ushauri wangu kwa Rais Samia, awe makini na usalama wake wa taifa na baadhi ya watu wake ndani ya uongozi.

Kuna watu wa JPM walioupata utajiri mkubwa katika uongozi wa JPM na wanajiaribu sana kutumia utajiri huo kuregain influence yao katika serikali. Kiufupi wanakujaribu na kujaribu kukukwamisha uonekana mbaya kwa watanzania.

Kama alivyofanya JPM wakati wa Kikwete, na wewe isuke team ya watu unaowaamini, hususani kwenye Usalama wa Taifa ambapo Magufuli alijaza wasukuma wake. Huyo Mkurugenzi wa Usalama unamwamini? Anafanya kazi kwa niaba yako au niaba ya genge la JPM? Najua upo karibu sana na Mabeyo, kaa nae mshauriane mnaisuka vipi usalama, hiki ndio chombo kitakachodetermine mafanikio ya uRais wako.

All the best!!
naona umeandika kiume.! ni asha kweli ww..?😉
 
Ni kawaida nchini kwa kila kiongozi mpya anapoingia madarakani, kuwepo kwa genge la wanufaika wa uongozi uliopita kulinda na kusukuma maslai yao. Mwinyi – kama alivyoandika kwenye kitabu chake – alisumbuliwa sana na ‘watu’ wa Nyerere, ikiwemo Nyerere mwenyewe. Mkapa hakusumbuliwa sana na hili.

Kikwete alisumbuliwa kidogo na watu wa Mkapa. Magufuli alisumbuliwa kwa sana na watu wa Kikwete ambao maslai yao kwa upana yaliguswa na walihisi kutengwa.

Kuna dalili za wazi, Rais Samia, ameaza kusumbuliwa na watu wa Hayati Magufuli, na nina hofu mpango huu una maono ya 2025. Kama umekua ukifuatilia kwa ukaribu kwenye mitandao, kila changamoto inayotokea nchini, kuna kakikundi - ambacho ukifungua profile zao - utagundua wengi hawana followers zaidi ya 10, wanacomment, mambo yanayolenga kumlaumu Samia, na “kumkumbuka” JPM kwani mambo haya “hayakuwepo” wakati wa uongozi wake. Hizi accounts kitaalamu zinaitwa bots.

Naomba tukumbushane
Matatizo Tanesco; Ni kweli kuwa matatizo ya umeme yalipungua wakati wa JPM, ila hitilafu zilikua zinajitokeza mara moja moja, ila hawa watu wana comment kana kwamba huko nyuma mambo yalikwisha kabisa. Huu ni upotoshaji wa maksudi. Mifano ya hizi hitilafu huko nyuma soma hapa, hapa na hapa.

Ujambazi; Kama ilivyo maswala ya umeme, ujambazi ulipungua kwa sana ila ulikuwepo. Soma hapa, hapa, hapa, hapa na hapa. Ipo mifano mingi, tafuteni kwenye mitandao. Ninajaribu tu kuwakumbusha maana watanzania ni hulka yetu kusahau. Kwa kuongezea wakati wa JPM ujambazi wa kihalifu ulipungua, lakini ujambazi wa kisiasa ulishamiri. Wanasiasa kupigwa risasi, wafanyabishara kutekwa, wengine kukatwa masikio, ila sisi watanzania kama kawaida ni wasahaulifu.

Sasa, anapokuja mtu kusema wakati wa JPM haya mambo hayakuwepo anakuwa na maana gani? Maana ni upotoshaji wa wazi. Ushauri wangu kwa Rais Samia, awe makini na usalama wake wa taifa na baadhi ya watu wake ndani ya uongozi.

Kuna watu wa JPM walioupata utajiri mkubwa katika uongozi wa JPM na wanajiaribu sana kutumia utajiri huo kuregain influence yao katika serikali. Kiufupi wanakujaribu na kujaribu kukukwamisha uonekana mbaya kwa watanzania.

Kama alivyofanya JPM wakati wa Kikwete, na wewe isuke team ya watu unaowaamini, hususani kwenye Usalama wa Taifa ambapo Magufuli alijaza wasukuma wake. Huyo Mkurugenzi wa Usalama unamwamini? Anafanya kazi kwa niaba yako au niaba ya genge la JPM? Najua upo karibu sana na Mabeyo, kaa nae mshauriane mnaisuka vipi usalama, hiki ndio chombo kitakachodetermine mafanikio ya uRais wako.

All the best!!
Kazi iendelee
 
Ni kawaida nchini kwa kila kiongozi mpya anapoingia madarakani, kuwepo kwa genge la wanufaika wa uongozi uliopita kulinda na kusukuma maslai yao. Mwinyi – kama alivyoandika kwenye kitabu chake – alisumbuliwa sana na ‘watu’ wa Nyerere, ikiwemo Nyerere mwenyewe. Mkapa hakusumbuliwa sana na hili.

Kikwete alisumbuliwa kidogo na watu wa Mkapa. Magufuli alisumbuliwa kwa sana na watu wa Kikwete ambao maslai yao kwa upana yaliguswa na walihisi kutengwa.

Kuna dalili za wazi, Rais Samia, ameaza kusumbuliwa na watu wa Hayati Magufuli, na nina hofu mpango huu una maono ya 2025. Kama umekua ukifuatilia kwa ukaribu kwenye mitandao, kila changamoto inayotokea nchini, kuna kakikundi - ambacho ukifungua profile zao - utagundua wengi hawana followers zaidi ya 10, wanacomment, mambo yanayolenga kumlaumu Samia, na “kumkumbuka” JPM kwani mambo haya “hayakuwepo” wakati wa uongozi wake. Hizi accounts kitaalamu zinaitwa bots.

Naomba tukumbushane
Matatizo Tanesco; Ni kweli kuwa matatizo ya umeme yalipungua wakati wa JPM, ila hitilafu zilikua zinajitokeza mara moja moja, ila hawa watu wana comment kana kwamba huko nyuma mambo yalikwisha kabisa. Huu ni upotoshaji wa maksudi. Mifano ya hizi hitilafu huko nyuma soma hapa, hapa na hapa.

Ujambazi; Kama ilivyo maswala ya umeme, ujambazi ulipungua kwa sana ila ulikuwepo. Soma hapa, hapa, hapa, hapa na hapa. Ipo mifano mingi, tafuteni kwenye mitandao. Ninajaribu tu kuwakumbusha maana watanzania ni hulka yetu kusahau. Kwa kuongezea wakati wa JPM ujambazi wa kihalifu ulipungua, lakini ujambazi wa kisiasa ulishamiri. Wanasiasa kupigwa risasi, wafanyabishara kutekwa, wengine kukatwa masikio, ila sisi watanzania kama kawaida ni wasahaulifu.

Sasa, anapokuja mtu kusema wakati wa JPM haya mambo hayakuwepo anakuwa na maana gani? Maana ni upotoshaji wa wazi. Ushauri wangu kwa Rais Samia, awe makini na usalama wake wa taifa na baadhi ya watu wake ndani ya uongozi.

Kuna watu wa JPM walioupata utajiri mkubwa katika uongozi wa JPM na wanajiaribu sana kutumia utajiri huo kuregain influence yao katika serikali. Kiufupi wanakujaribu na kujaribu kukukwamisha uonekana mbaya kwa watanzania.

Kama alivyofanya JPM wakati wa Kikwete, na wewe isuke team ya watu unaowaamini, hususani kwenye Usalama wa Taifa ambapo Magufuli alijaza wasukuma wake. Huyo Mkurugenzi wa Usalama unamwamini? Anafanya kazi kwa niaba yako au niaba ya genge la JPM? Najua upo karibu sana na Mabeyo, kaa nae mshauriane mnaisuka vipi usalama, hiki ndio chombo kitakachodetermine mafanikio ya uRais wako.

All the best!!
Kukatika kwa umeme ni hujuma, na aina hii ya hujuma haipo Tanesco tu, na haijaanza leo. Ni wizi mkubwa wa fedha za umma kupitia taaluma ya programmer. Idara au taasisi inayotumia program za computer ni mhanga wa wizi huu. Kila mara TRA matatizo ya machine za EFD, Bank mitandao kukatika nk nk, ni wizi mtupu. Ni dunia yote, hata ukwasi wa Bill Gates ni kutokana na kubadili program zake kila kukicha, windows moja hadi nyingine.
 
Sasa kama anahujumiwa Raisi kazi yake ni nini sasa, yupo pale kufanya nini, kuwa head of state is a toughest job ever. Apambane kiume, akizingua 2025 tunatembea na Chadema.
Urais ungekuwa kazi ngumu isingepiganiwa, ni kazi rahisi mno ukifuata kanuni zake. Kila kitu unafanyiwa, una wasaidizi kila idara, unapata taarifa za watendaji wako kutoka kila kona, una baki na kazi moja ya kutumbua na kuteua wasio mudu kazi.
 
Ni kawaida nchini kwa kila kiongozi mpya anapoingia madarakani, kuwepo kwa genge la wanufaika wa uongozi uliopita kulinda na kusukuma maslai yao. Mwinyi – kama alivyoandika kwenye kitabu chake – alisumbuliwa sana na ‘watu’ wa Nyerere, ikiwemo Nyerere mwenyewe. Mkapa hakusumbuliwa sana na hili.

Kikwete alisumbuliwa kidogo na watu wa Mkapa. Magufuli alisumbuliwa kwa sana na watu wa Kikwete ambao maslai yao kwa upana yaliguswa na walihisi kutengwa.

Kuna dalili za wazi, Rais Samia, ameaza kusumbuliwa na watu wa Hayati Magufuli, na nina hofu mpango huu una maono ya 2025. Kama umekua ukifuatilia kwa ukaribu kwenye mitandao, kila changamoto inayotokea nchini, kuna kakikundi - ambacho ukifungua profile zao - utagundua wengi hawana followers zaidi ya 10, wanacomment, mambo yanayolenga kumlaumu Samia, na “kumkumbuka” JPM kwani mambo haya “hayakuwepo” wakati wa uongozi wake. Hizi accounts kitaalamu zinaitwa bots.

Naomba tukumbushane
Matatizo Tanesco; Ni kweli kuwa matatizo ya umeme yalipungua wakati wa JPM, ila hitilafu zilikua zinajitokeza mara moja moja, ila hawa watu wana comment kana kwamba huko nyuma mambo yalikwisha kabisa. Huu ni upotoshaji wa maksudi. Mifano ya hizi hitilafu huko nyuma soma hapa, hapa na hapa.

Ujambazi; Kama ilivyo maswala ya umeme, ujambazi ulipungua kwa sana ila ulikuwepo. Soma hapa, hapa, hapa, hapa na hapa. Ipo mifano mingi, tafuteni kwenye mitandao. Ninajaribu tu kuwakumbusha maana watanzania ni hulka yetu kusahau. Kwa kuongezea wakati wa JPM ujambazi wa kihalifu ulipungua, lakini ujambazi wa kisiasa ulishamiri. Wanasiasa kupigwa risasi, wafanyabishara kutekwa, wengine kukatwa masikio, ila sisi watanzania kama kawaida ni wasahaulifu.

Sasa, anapokuja mtu kusema wakati wa JPM haya mambo hayakuwepo anakuwa na maana gani? Maana ni upotoshaji wa wazi. Ushauri wangu kwa Rais Samia, awe makini na usalama wake wa taifa na baadhi ya watu wake ndani ya uongozi.

Kuna watu wa JPM walioupata utajiri mkubwa katika uongozi wa JPM na wanajiaribu sana kutumia utajiri huo kuregain influence yao katika serikali. Kiufupi wanakujaribu na kujaribu kukukwamisha uonekana mbaya kwa watanzania.

Kama alivyofanya JPM wakati wa Kikwete, na wewe isuke team ya watu unaowaamini, hususani kwenye Usalama wa Taifa ambapo Magufuli alijaza wasukuma wake. Huyo Mkurugenzi wa Usalama unamwamini? Anafanya kazi kwa niaba yako au niaba ya genge la JPM? Najua upo karibu sana na Mabeyo, kaa nae mshauriane mnaisuka vipi usalama, hiki ndio chombo kitakachodetermine mafanikio ya uRais wako.

All the best!!
Hii kazi anaifanya kwa uangalifu sana,anasuka serikali yake polepole
 
Ni kawaida nchini kwa kila kiongozi mpya anapoingia madarakani, kuwepo kwa genge la wanufaika wa uongozi uliopita kulinda na kusukuma maslai yao. Mwinyi – kama alivyoandika kwenye kitabu chake – alisumbuliwa sana na ‘watu’ wa Nyerere, ikiwemo Nyerere mwenyewe. Mkapa hakusumbuliwa sana na hili.

Kikwete alisumbuliwa kidogo na watu wa Mkapa. Magufuli alisumbuliwa kwa sana na watu wa Kikwete ambao maslai yao kwa upana yaliguswa na walihisi kutengwa.

Kuna dalili za wazi, Rais Samia, ameaza kusumbuliwa na watu wa Hayati Magufuli, na nina hofu mpango huu una maono ya 2025. Kama umekua ukifuatilia kwa ukaribu kwenye mitandao, kila changamoto inayotokea nchini, kuna kakikundi - ambacho ukifungua profile zao - utagundua wengi hawana followers zaidi ya 10, wanacomment, mambo yanayolenga kumlaumu Samia, na “kumkumbuka” JPM kwani mambo haya “hayakuwepo” wakati wa uongozi wake. Hizi accounts kitaalamu zinaitwa bots.

Naomba tukumbushane
Matatizo Tanesco; Ni kweli kuwa matatizo ya umeme yalipungua wakati wa JPM, ila hitilafu zilikua zinajitokeza mara moja moja, ila hawa watu wana comment kana kwamba huko nyuma mambo yalikwisha kabisa. Huu ni upotoshaji wa maksudi. Mifano ya hizi hitilafu huko nyuma soma hapa, hapa na hapa.

Ujambazi; Kama ilivyo maswala ya umeme, ujambazi ulipungua kwa sana ila ulikuwepo. Soma hapa, hapa, hapa, hapa na hapa. Ipo mifano mingi, tafuteni kwenye mitandao. Ninajaribu tu kuwakumbusha maana watanzania ni hulka yetu kusahau. Kwa kuongezea wakati wa JPM ujambazi wa kihalifu ulipungua, lakini ujambazi wa kisiasa ulishamiri. Wanasiasa kupigwa risasi, wafanyabishara kutekwa, wengine kukatwa masikio, ila sisi watanzania kama kawaida ni wasahaulifu.

Sasa, anapokuja mtu kusema wakati wa JPM haya mambo hayakuwepo anakuwa na maana gani? Maana ni upotoshaji wa wazi. Ushauri wangu kwa Rais Samia, awe makini na usalama wake wa taifa na baadhi ya watu wake ndani ya uongozi.

Kuna watu wa JPM walioupata utajiri mkubwa katika uongozi wa JPM na wanajiaribu sana kutumia utajiri huo kuregain influence yao katika serikali. Kiufupi wanakujaribu na kujaribu kukukwamisha uonekana mbaya kwa watanzania.

Kama alivyofanya JPM wakati wa Kikwete, na wewe isuke team ya watu unaowaamini, hususani kwenye Usalama wa Taifa ambapo Magufuli alijaza wasukuma wake. Huyo Mkurugenzi wa Usalama unamwamini? Anafanya kazi kwa niaba yako au niaba ya genge la JPM? Najua upo karibu sana na Mabeyo, kaa nae mshauriane mnaisuka vipi usalama, hiki ndio chombo kitakachodetermine mafanikio ya uRais wako.

All the best!!
Ni kuwatambua na kuwawajibisha kwa mujibu wa sheria, hayo yapo hata kwenye kazi ukipandishwa cheo lazima ukutane na wahujumu, na suluhisho sio kuwatafutia mizengwe, unafuata taratibu za kazi wananyoooka kama rula ni rahisi sana, wanapiga kelele kuficha makosa yao sasa yeye ni kufuata sheria za kazi tu.
 
Back
Top Bottom