Kuhusisha jinsia wakati wa ugomvi wa watoto.

Kuhusisha jinsia wakati wa ugomvi wa watoto.

Shanily

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2024
Posts
856
Reaction score
1,662
Kuna msemo maarufu hasa huku mitaani kwetu watoto wakike wakiwa wanapigana au wanagombana na watoto wa kiume, utaskia wazazi wao hasa wa kike.
"Usipigane nae, huyo ni mwanamke"

Kwahy kama akiwa ni mwanamke hafai kupigana!?.

Binafsi naona kauli Bora ni kuwaambia "acheni kupigana, ugomvi sio Mzuri".

Maana ukimwambia mtoto wako wa kiume "usipigane nae , huyo ni mwanamke", unamjengea tafsiri kwamba.

a). Wanawake ni viumbe dhaifu hivyo hawafai kuwekewa uzito , wanafaa kupuuzwa.

b) Mwanamke hana hadhi mbele yake, ndomna hafai kugombana nae. Ndo utakuta kijana kakuwa , kaoa , unaskia anakwambia

"Utanambia nini , wewe si mwanamke tu".

Kashajenga fikra kwamba wanawake si lolote si Chochote.

Lakini tukisema " usipigane ugomvi sio mzuri, anajenga fikra ya jumla, ugomvi sio mzuri kwa wote, wake na waume na Kila mtu anastahili heshima yake.

Au hata tukisema hiyo usipigane nae, huyo ni mwanamke angalau ufafanue asipigane na mwanamke kwasababu gani!?. Ukiacha bila ufafanuzi ndo inaleta shida ukubwani, kwakua mazoea hujenga tabia.

Mwanaume hafai kupigana na wanawake, dhana ya kwanini ni muhimu kwa wazazi kuifafanua ili vijana wakue wakiwa wanaielewa.

a) Wanawake wanafaa kuhurumiwa.
b)Wanahitajia kuelezwa kwa upole.
c)Asili ya miili Yao haiwezi kuhimili kupigana mingumi , miteke.

Tuziweke wazi hizi sababu na nyinginezo kwa vizazi vyetu ili kutojenga dhana ya dharau na kumchukulia mwanamke kama kiumbe dhaifu hata wa fikra.
 
Kuna msemo maarufu hasa huku mitaani kwetu watoto wakike wakiwa wanapigana au wanagombana na watoto wa kiume, utaskia wazazi wao hasa wa kike.
"Usipigane nae, huyo ni mwanamke"

Kwahy kama akiwa ni mwanamke hafai kupigana!?.

Binafsi naona kauli Bora ni kuwaambia "acheni kupigana, ugomvi sio Mzuri".

Maana ukimwambia mtoto wako wa kiume "usipigane nae , huyo ni mwanamke", unamjengea tafsiri kwamba.

a). Wanawake ni viumbe dhaifu hivyo hawafai kuwekewa uzito , wanafaa kupuuzwa.

b) Mwanamke hana hadhi mbele yake, ndomna hafai kugombana nae. Ndo utakuta kijana kakuwa , kaoa , unaskia anakwambia

"Utanambia nini , wewe si mwanamke tu".

Kashajenga fikra kwamba wanawake si lolote si Chochote.

Lakini tukisema " usipigane ugomvi sio mzuri, anajenga fikra ya jumla, ugomvi sio mzuri kwa wote, wake na waume na Kila mtu anastahili heshima yake.

Au hata tukisema hiyo usipigane nae, huyo ni mwanamke angalau ufafanue asipigane na mwanamke kwasababu gani!?. Ukiacha bila ufafanuzi ndo inaleta shida ukubwani, kwakua mazoea hujenga tabia.
Tushachoka na 50/50 zenu ambazo kiuhalisia hazipo.

Kwani wanawake na wanaume ki hormone wako sawa?

Tofauti za hormone ndizo zinatafsiri nani boss wa mwenzake, kupigana na mwanamke kwanza hata kiutamaduni ni matusi ya nguoni, ukubali ama ukatae tutakulazimisha🤣🤣🤣.
 
Tushachoka na 50/50 zenu ambazo kiuhalisia hazipo.

Kwani wanawake na wanaume ki hormone wako sawa?

Tofauti za hormone ndizo zinatafsiri nani boss wa mwenzake, kupigana na mwanamke kwanza hata kiutamaduni ni matusi ya nguoni, ukubali ama ukatae tutakulazimisha🤣🤣🤣.
ndo wale wale ushamezeshwa sumu. Sijasema mpigane na wanawake ila hiyo dhana ya kwanini usipigane na mwanamke ndo inapotoshwa.

Mtoto hajui kuchanganua mambo, ukiacha kavu ndo wanaibuka kama wewe kupigana na mwanamke ni matusi ya nguoni. Kwahy hupigani nae kwakua unajitukanisha na Sio kwasababu nyingne bora za kuwahurumia n.k.
 
Tushachoka na 50/50 zenu ambazo kiuhalisia hazipo.

Kwani wanawake na wanaume ki hormone wako sawa?

Tofauti za hormone ndizo zinatafsiri nani boss wa mwenzake, kupigana na mwanamke kwanza hata kiutamaduni ni matusi ya nguoni, ukubali ama ukatae tutakulazimisha🤣🤣🤣.
Ukishalkubali kwamba hakuna usawa, ujue unahitaji equity measures. Ukisema mwanamke hawez kuwa sawa na mwanaume, ni sawa na kusema inahitajika mikakati ya kumuwezesha huyu mwanamke afikie pale.

Equity measures lazim iegemee kumbeba aliye chini zaidi kwa kumuongeza
 
Ukishalkubali kwamba hakuna usawa, ujue unahitaji equity measures. Ukisema mwanamke hawez kuwa sawa na mwanaume, ni sawa na kusema inahitajika mikakati ya kumuwezesha huyu mwanamke afikie pale.

Equity measures lazim iegemee kumbeba aliye chini zaidi kwa kumuongeza
Dah!
Somo refu kidogo hili.
 
Back
Top Bottom