Kuhusisha ushoga na kila kitu ni ujinga unaochipua

Kuhusisha ushoga na kila kitu ni ujinga unaochipua

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watanganyika Sasa wanahitaji msaada wa Kisaikolojia

Kwanza nakubali kuwa ushoga ni jambo baya Kwa maadili yetu, na inafaa ukemewe

Siku hizi watu wengi wapo wanahusisha ushoga na jambo lolote, nilikuwa kijijini Nina Miche ya mapapai Fulani kwenye shamba langu, basi wakaja washikaji wapo pale halmashauri kuona Ile Miche wakaanza kusema haya mapapai ni ya ushoga, mi nikashangaa aisee
Sasa mapapai na ushoga wapi na wapi

Mfano hapa jamii forums inaweza itokee mada ya mazoezi ya viungo
Mtu aka comment kwamba mazoezi ya viungo ni ushoga

Ikatokea mada ya mavazi
Jitu lika comment, ooh rangi ya blue na nyekundu ni ushoga
Au jeans za hivi ni ushoga

Ikatokea mada ya vyakula
Jitu litasema oooh kula chipsi kuku ni ushoga, kula mihogo ni ushoga
Aisee ni kero sana

Ikatokea mada ya SGR
Jitu lika comment ati hayo ma SGR ni ushoga

Huko jukwaa la sports Huwa tunapopoana mambo ya michezo
Jitu litasema wachezaji, sijui coach ni mashoga

Kwenye mada za siasa, watu mashuri ni kuhusishwa na ushoga.
Kila mtu maarufu au aliyefanikiwa laZima awe shoga? Sijui shida ni Nini,

Watanganyika nadhani Sasa wapate msaada wa Kisaikolojia, maana hii ni kero sana

Ushoga ni jambo baya ila haliwezi kuwa kila sehemu Ushoga ukiutafuta utaupata wala haupo mbali, Kuongelea mambo ya ushoga ni kuufanyia promotion bila kujua

Au labda watu wanaufurahia ushoga wanajifanya kuuchukia ilihali kila muda kuuongelea na kuuhisisha na kila kitu

Watanganyika badilikeni huu ushoga ni uchafu na ushetani tusipende kuuongelea sana,
 
Watanganyika Sasa wanahitaji msaada wa Kisaikolojia

Kwanza nakubali kuwa ushoga ni jambo baya Kwa maadili yetu, na inafaa ukemewe

Siku hizi watu wengi wapo wanahusisha ushoga na jambo lolote, nilikuwa kijijini Nina Miche ya mapapai Fulani kwenye shamba langu, basi wakaja washikaji wapo pale halmashauri kuona Ile Miche wakaanza kusema haya mapapai ni ya ushoga, mi nikashangaa aisee
Sasa mapapai na ushoga wapi na wapi

Mfano hapa jamii forums inaweza itokee mada ya mazoezi ya viungo
Mtu aka comment kwamba mazoezi ya viungo ni ushoga

Ikatokea mada ya mavazi
Jitu lika comment, ooh rangi ya blue na nyekundu ni ushoga
Au jeans za hivi ni ushoga

Ikatokea mada ya vyakula
Jitu litasema oooh kula chipsi kuku ni ushoga, kula mihogo ni ushoga
Aisee ni kero sana

Ikatokea mada ya SGR
Jitu lika comment ati hayo ma SGR ni ushoga

Huko jukwaa la sports Huwa tunapopoana mambo ya michezo
Jitu litasema wachezaji, sijui coach ni ushoga

Kwenye mada za siasa, watu mashuti ni kuhusishwa na ushoga, ambao haionekani, sijui shida ni Nini,

Watanganyika nadhani Sasa wapate msaada wa Kisaikolojia, maana hii ni kero sana

Ushoga ni jambo baya ila haliwezi kuwa kila sehemu
Ushoga ukiutafuta utaupata wala haupo mbali,
Kuongelea mambo ya ushoga ni kuufanyia promotion bila kujua

Au labda watu wanaufurahia ushoga wanajifanya kuuchukia ilihali kila muda kuuongelea na kuuhisisha na kila kitu

Watanganyika badilikeni huu ushoga ni uchafu na ushetani tusipende kuuongelea sana,
Kwa nini ushoga ni mbaya?
 
Back
Top Bottom