AmoxicillinAmo ndo tunini huto...?
Assistant medical officer (AMO)Amo ndo tunini huto...?
hito si ni dawa!Amoxicillin
Assistant Medical Officerhito si ni dawa!
Siyo AMOeba kweli?Amoxicillin
kijana kuwa seriousSiyo AMOeba kweli?
Huyo mwenye AMO yake ndo angeanza kuwa serious...!!kijana kuwa serious
AMO siku hizi Ni Bachelor ya CM (Clinical medicine)...Hivii mtu akitaka kusoma AMO afate taratibu zipi kwa sasa hivi....?
Japo kwa Tanzania haipo,je akitaka kusoma nje inawezekana??
Na taratibu na vigezo zipoje???
Siku hizo Ukisoma Bachelor ya Clinical medicine Officially unatambulika Tanzania kama AMO ila kenya Wanakutambua kama Senior COHiyo kozi sidhani kama nje inatambulika ,,,au kuna mahali umeona wanatoa mkuu utufahamishe hapa?
Duh sasa hapo ni upotevu wa hela tu...bora umalizie mwaka 1 uwe MD kabisa.Siku hizo Ukisoma Bachelor ya Clinical medicine Offially unatambulika Tanzania kama AMO ila kenya Wanakutambua kama Senior CO
Hapana MD ni 5 Years Plus Intern 6 years..Duh sasa hapo ni upotevu wa hela tu...bora umalizie mwaka 1 uwe MD kabisa.
Vigezo vyao vipoje chief ????Siku hizo Ukisoma Bachelor ya Clinical medicine Offially unatambulika Tanzania kama AMO ila kenya Wanakutambua kama Senior CO