Kuhusu CHADEMA, Hayati Magufuli alikuwa mwamba. Rais Samia ukicheka na hawa watakukwamisha sana

Kuhusu CHADEMA, Hayati Magufuli alikuwa mwamba. Rais Samia ukicheka na hawa watakukwamisha sana

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Jana MUSOMA kuna mtu alijishajitangazia ubunge, leo Heche amejitangaza kuwa ndiyo mbunge wa Tarime na ametoa maagizo kwa OCD kuhusu askari wanyama pori aliyepigwa mshale wa sumu akitetea wahalifu wasikamatwae na kufundisha polisi namna ya kufanya kazi. Ameshaanza uchochezi. Lugha zao ni mbaya zina karaha, zinaudhi wakati kuna ligha nzuri za staha za kuwasilisha jumbe.

Mzanzibari anadai ukombozi wa nchi hii umeanzia Tarime, ukombozi wa nini? Haya ni malofa sijawahi ona! Yanadai masomi. Unajidai mbele ya wananchi amabo mwenyewe unaitwa maskini na Volkswagen ndiyo aliyejipa ubunge wa Tarime
 
Jana MUSOMA kuna mtu alijishajitangazia ubunge, leo Heche amejitangaza kuwa ndiyo mbunge wa Tarime na ametoa maagizo kwa OCD...
Acha mihemko wew! Unatakaje? Kwamba waimbe anaupiga mwingi ama? Aliewatesa CDM unasema alikua sahihi au vp then after that nan alibaki kati ya CDM na aliewatesa!!
 
Jana MUSOMA kuna mtu alijishajitangazia ubunge, leo Heche amejitangaza kuwa ndiyo mbunge wa Tarime na ametoa maagizo kwa OCD kuhusu askari wanyama pori aliyepigwa...
Watamkwamisha kwa lipi?jamani?ccm wapo Ikulu tangu 1961!Wana jeshi,polisi,ndio watunga sera zote,wanakusanya mapato wao, TRA ni wao, wanamteua kila mtu kuanzia kwenye halmashauri mpaka Ikulu!!kila shilingi inayokusanywa hapa bongo, imepita kwenye mikono ya ccm.

2020 ccm iliba uchaguzi wote!!sasa upinzani watawakwamisha kipi katika kuleta maendeleo?may be kama watakwamishwa wasiendelee kuiba,kenge magamba wakubwa
 
Jana MUSOMA kuna mtu alijishajitangazia ubunge, leo Heche amejitangaza kuwa ndiyo mbunge wa Tarime na ametoa maagizo kwa OCD kuhusu askari wanyama pori aliyepigwa mshale wa sumu akitetea wahalifu wasikamatwae na kufundisha polisi namna ya kufanya kazi. Ameshaanza uchochezi. Lugha zao ni mbaya zina karaha, zinaudhi wakati kuna ligha nzuri za staha za kuwasilisha jumbe.

Mzanzibari anadai ukombozi wa nchi hii umeanzia Tarime, ukombozi wa nini? Haya ni malofa sijawahi ona! Yanadai masomi. Unajidai mbele ya wananchi amabo mwenyewe unaitwa maskini na Volkswagen ndiyo aliyejipa ubunge wa Tarime
Umeandika nini sasa? Rudia kusoma ulichoandika wewe chawa ujione ulivyo punga
 
Jana MUSOMA kuna mtu alijishajitangazia ubunge, leo Heche amejitangaza kuwa ndiyo mbunge wa Tarime na ametoa maagizo kwa OCD kuhusu askari wanyama pori aliyepigwa mshale wa sumu akitetea wahalifu wasikamatwae na kufundisha polisi namna ya kufanya kazi. Ameshaanza uchochezi. Lugha zao ni mbaya zina karaha, zinaudhi wakati kuna ligha nzuri za staha za kuwasilisha jumbe.

Mzanzibari anadai ukombozi wa nchi hii umeanzia Tarime, ukombozi wa nini? Haya ni malofa sijawahi ona! Yanadai masomi. Unajidai mbele ya wananchi amabo mwenyewe unaitwa maskini na Volkswagen ndiyo aliyejipa ubunge wa Tarime
Nadhan ungekufa tu kwa faida ya umma, km siasa zitafanyika na kama umechukia ama ufe au amia Burundi kwa wahutu wenzake dictator JPM
 
CHADEMA kumbe ni above next level.. Hata baada ya kuzuiwa kufanya siasa kwa muda mrefu sana bado ni tishio sana
 
Jana MUSOMA kuna mtu alijishajitangazia ubunge, leo Heche amejitangaza kuwa ndiyo mbunge wa Tarime na ametoa maagizo kwa OCD kuhusu askari wanyama pori aliyepigwa mshale wa sumu akitetea wahalifu wasikamatwae na kufundisha polisi namna ya kufanya kazi. Ameshaanza uchochezi. Lugha zao ni mbaya zina karaha, zinaudhi wakati kuna ligha nzuri za staha za kuwasilisha jumbe.

Mzanzibari anadai ukombozi wa nchi hii umeanzia Tarime, ukombozi wa nini? Haya ni malofa sijawahi ona! Yanadai masomi. Unajidai mbele ya wananchi amabo mwenyewe unaitwa maskini na Volkswagen ndiyo aliyejipa ubunge wa Tarime
Umeshalipa Tozo? Vipi kwako umeme unawaka?
Mtoto wako amewwza kuripoti shule?
Wwww na familia yako ma ukoo wenu huwa chakula mnanunua bei gani? Au huwa mnakua mmeshalipiwa?
 
Back
Top Bottom